14/04/2025
Wana mti pesa siku ya ijumaa tarehe 11/4/2025 tulitembelea zahanati ya mdaula, tulipata wasaa wa kufanya usafi eneo lote la zahanati, tulitembelea wagonjwa pamoja na wazazi. Hatukuishia hapo tuligawa zawadi ambazo tulifanikiwa kuzibeba kwenye msafara wetu k**a vile sabuni, pampasi na vifaa vya usafi kwa ajili ya zahanati yetu. Pamoja na hayo tulipanda miti kuweka sawa mazingira ya zahanati yetu
# MTI PESA PAMOJA TUNAWEZA #
