Ufugaji Samaki Tanzania nipo Mbezi msuguli
ufugaji_samaki_tanzania
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ufugaji_samaki_tanzania, Kigamboni, .
Pond liner installation🏆
24/06/2021
Hello Tz.
Kesho tugusie hii topic(NINI HUSABABISHA VIFO VYA SAMAKI WENGI NDANI YA MUDA MFUPI?)
1.Sababu na Dalili ziko vp?
2.Je nini kifanyike katika bwawa lako baada ya hili kutokea?
3.Samaki wataobaki wafanyiwe nini?
NB:Leta sample ya maji yako kwa ajili ya kupima ni muhimu sana kwa maendeleo mazuri ya samaki wako.
📞0763502773-Ufugaji Samaki Tanzania
24/06/2021
Asanteni sana.Mbarikiwe🙏🏼
20/06/2021
UFUGAJI SAMAKI TANZANIA
16/06/2021
Mabwawa ya kuhamishika.Nlikua nkipata maswali mengi kwani kuna watu hawana uwezo wa kuchimba bwawa katika maeneo yao or inakua gharama kuanza na mabwawa makubwa sasa suluhisho limekuja.Tuko na pieces chache za bwawa za kuhamishika unafunga popote pale na ni kwa gharama nafuu.Npgie 0763502773 kwa order
16/06/2021
Ufugaji Samaki Tanzania tuko na mzigo mpya wa movable or mobile ponds ambazo unaweza weka popote na hakuna haja ya kuchimba wala kugusa ardhi yako.Ukipewa tu mzigo wako unaufungua unaweza supporting stands ambazo ziko kwa package then unajaza maji.
For inquiries tupigie 0763502773
Ufugaji Samaki Tanzania leo nipo Morogoro mjini.
Sijui nmeanza kupata hela mbna kiswahili hainitaki kabisa??😂😂😂
Ufugaji Samaki Tanzania nipo Tabora mjini.
07/06/2021
Hello Tanzania
Ufugaji Samaki Tanzania tunatoa offer leo kwa ordee yeyote ya vifaranga vya sato kwa bei ya 250/= offer hii ni ya leo tu.Karibuni sana
Tupigie 0763502773
