Katibampyatz

Katibampyatz

Share

We are active citizens and activists ,here to demand a new constitution in Tanzania| #KatibaMpya | #WenyeNchiWananchi |
[email protected]

16/05/2022

Nguvu na Uhuru wa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) ni vizuri akalindwa na kuwekewa utaratibu wa kupatikana kwake na utekelezaji wa majukumu yake kwenye katiba.

16/05/2022

Vyama vya siasa na Msajili wa vyama vya siasa ni taasisi za wananchi, hivyo lazima kutambulika kwenye katiba ya nchi na kuwekewa miiko. Upatikanaji wa Msajili vyama vya siasa na wajibu wake ni vyema ukawa kwenye katiba yetu ya nchi.

16/05/2022

Shughuli za Serikali zisichanganywe na Siasa. Watumishi wa umma sasa wanatumia rasilimali za umma kutekeleza kazi za vyama vya siasa mfano.Rais, Mawaziri, wakuu wa wilaya na mikoa.

26/06/2021
Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address

Dar Es Salaam
11111