Life Book Club for Christians

Life Book Club for Christians

Share

We help you discover & enjoy a better Christian life. Join us at christ.lifebookclub.org

Photos from Life Book Club for Christians's post 22/02/2026

Njia 101 za Kumkumbatia Mwenzako (001-056).

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

22/02/2026

Upendo wa kiagano ni upendo wa kujitoa kwa mwenzako.

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

22/02/2026

Pumzisha macho leo. Let an Audiobook read for you.

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

18/02/2026

Nimejifunza kuwa, ndoa sio wazo la mwanadamu, ni wazo la Mungu, na k**a ni hivyo, maandalizi na maisha ya ndoa yanatakiwa yajengwe kwenye msingi wa maisha ya uKristo (Fedrick Masai).

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

18/02/2026

Agano la ndoa linakufanya uwe huru kuwa wewe.

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

18/02/2026

Maendeleo ya usomaji wa 14th Book (Day 18).

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

18/02/2026

Anayesema anakupenda ila hataki ndoa, HAKUPENDI.

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

17/02/2026

Nimejifunza kwamba marriage needs both partners to work so that the marriage works. Pia, we can’t find a full version of our marriage partners katika siku ya kwanza. Kumpata yule mtu unayetamani ni lazima ufanye kazi ndipo mtaelewana (Elizabeth Simbeya).

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

17/02/2026

Majibu ya maswali haya yatakusaidia kujijua wewe binafsi na kuboresha uhusiano wako na mwenzako.

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

16/02/2026

Ndoa sio mkataba, ndoa ni agano.

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

16/02/2026

Ndoa ni k**a kifyonza mshtuko (shock absorber) kwa kupunguza msongo wa mawazo, wasiwasi na tabia zisizofaa. Katika ndoa, furaha hupatikana kwa kumhudumia mwenzako badala ya kujitumikia sisi wenyewe (Gasper Bihemo).

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

15/02/2026

Kuna vitu vya kawaida lazima uhakikishe unaendana na atakayekuwa mwenza wako.

christ.lifebookclub.org
Jiunge nasi ili ugundue na ufurahie maisha bora ya kiKristo kupitia usomaji wa vitabu.
Life Book Club for Christians

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 10:00 - 16:00