Habari za leo, mwenzetu Focus Katama amefiwa na mdogo wake Saimon Simon Katama...tuungane nao kwenye kipindi hiki kigumu
Kisutu Primary School
THIS PAGE CONTAINS NEWS ABOUT VARIOUS EVENTS DONE BY DIFFERENT FORMER KISUTU PRIMARY SCHOOL WORKERS AND STUDENTS
*TAARIFA ZA MSIBA*
Tunasikitika kutangaza kifo cha baba yetu na Mzee wetu *_Wilneza Mrema_* (Baba yake Eng Goodie Mrema, Lucy Mrema na Dennis Mrema) siku ya leo tarehe 26/10/2016.
Tutazidi kuwahabarisha kwa lolote litaloendelea na mipango yote toka familia ya Mrema.
Jumapili hii, tutakutana Kebbys Hotel, Mwenge, kuanzia saa 11 jioni, Karibuni
Aisha Makame Sandra Nassor Ipyana Mwakyusa, Lusekelo Thompson, Emmanuel N.M.Manase, El Fredito , Riyaz Ahmed, Hawa MkambaMjomba Ukindo Ukindo, Eng Goodie Mrema Chiku Haidari, Rukia H Penza, Bilhuda Chamshama, Shushu Grace mbona mkanitosa tena....
Habari zenu
Mwanafunzi mwenzetu El Fredito Fred Manase Laizer amefiwa na baba yake Mzazi Mzee Manase Laizer, Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu,
Amen
SIKU KUMI ZIMEBAKI KABLA YA SIKU YA KISUTU...UMETOA MCHANGO WAKO? UNAPENDEKEZA KUWA NA VITU GANI SIKU HIYO
07/05/2013
JUMAPILI, JULAI 7, 2013 TAMASHA KUBWA LA WANAFUNZI WALIOSOMA SHULE YA MSINGI KISUTU TANGU KUANZISHWA KWAKE MWAKA 1971. WALIMU NA WANAFUNZI WOTE WALIOWAHI KUPITA HAPA WATAKUTANA PAMOJA SHULENI, KWA MICHEZO, MUZIKI, ELIMU.
KAMATI YA MAANDALIZI, MWENYEKITI PETTER DAVID MWENDAPOLE, MAKAMU MWENYEKITI, AISHA MAKAME, KATIBU, SANDRA NASSOR, MWEKA HAZINA CHIKU HAIDARY, WAJUMBE, VANESSA BAHATI RAHIM, EMMANUEL M.N MANASE, GOODIE MREMA, LUSEKELO THOMPSON, MJOMBA UKINDO UKINDO.
MAADHIMIO YA KIKAO KILICHOFANYIKA LEO JUMAMOSI MEI 4, NI KUKARABATI MAJENGO YA MADARASA AMBAYO YAKO KWENYE HALI MBAYA, TUMEKUBALINA MCHANGO NI SH 50,000, TAFADHALI WASILISHA MCHANGO WAKO KWA MWEKA HAZINA KWA AJILI YA MAENDELEO YA SHULE YETU
Mahudhurio hafifu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
