Dawa za uzazi&ushauri bure

Dawa za uzazi&ushauri bure

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dawa za uzazi&ushauri bure, Public Service, dar es salaam, Dar es Salaam.

13/05/2025

I got 50 reactions and comments on my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

03/04/2025

DALILI ZA MTU MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI

1.Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

2.Kupata maumivu chini ya kitovu wakati wa haja ndogo na haja kubwa

3.Maumivu ya kiuno hasa upande mmoja wakati wa kutembea au kufanya shughuli yoyote.

4.kuhisi kitu kigumu Ndani ya tumbo upande wa Chini

5.Kupata Hedhi Nzito Yenye Mabonge Yenye Rangi Nyeusi

6.Kupata hedhi nyingi Sana Kwa Muda Mrefu isivyokawaida(inayozidi siku 7)

7.Mzunguko Wa Hedhi Kubadilika Sana,kwa mwezi kupata mara mbili au Zaidi, lakini pia inaweza kupita miezi kadhaa hujapata hedhi

8.kushindwa Kupata Ujauzito

NB;KUNA VIMBE ZA AINA 3

FIBROIDS -Ni uvimbe mgumu kwenye kuta za Kizazi unaweza kuwa na ukubwa wowote,unaweza kuwa zaidi ya mmoja

CYSTS -Ni uvimbe ambao mayai ya k**e hujaa Maji hivyo kuzuia kupata mimba

ENDOMETRITIS - Ni vimbe ndogo ndogo nyingi katika kuta Za uterus(njia za uzazi)

Je Uvimbe ulionao wewe Ni Upi?

Una dalili yoyote kati ya hizo hapo?

Umetumia dawa za uvimbe lakini bado dalili unazo ?

Nina suluhisho kwa Ajili Yako

Dozi zetu ni tibalishe na zinayeyusha uvimbe taratibu bila upasuaji wala madhara,hii ni kutokana na uwepo wa viambata vya polysaccharides

Zitakutibu lakini pia zitaku kinga usipate uvimbe siku za baadae

Dose ya uvimbe inatokana na ukubwa wa uvimbe wenyewe

KARIBU KWA USHAURI NA VIRUTUBISHO TIBA.

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Culinary Team

Attire

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam