AMANI ORG

AMANI ORG

Share

Muungano wa nchi za Afrika

16/09/2022

Idd Amin akiwapigisha magoti wazungu,Je kweli alikuwa dikteta k**a tulivyolishwa sumu na historia yetu ya Tanzania tunayoisoma darasani?

Mimi nilivyosoma historia vizuri kuhusu Idd Amin ni kuwa mtu aliyependa waganda wamiliki ardhi yao wenyewe na si wa wazungu, alikuwa hapendi wazungu wawaonee waafrika n.k

Historia yetu muda mwingine inaongezea uongo, Tanzania tunamchukia Idd amin kisa tu kuivamia Kagera lakini hayo yalikuwa mapungufu yake ,lakini mengi alifanya mazuri ndio maana Uganda wanamkumbuka sana , japokuwa viongozi wao vibaraka wa wazungu hawataki wasikilize mazuri yake.

14/08/2022

Congratulations Ruto , kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Kenya 👏👏👏👏👏

Want your business to be the top-listed Government Service in Dodoma?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address

Dodoma Kikuyu
Dodoma
40000