27/05/2026
EID MUBARAK
We are a statutory body established under the Pharmacy Act, Cap 311 to regulate the pharmacy professionals practice and related matters.
27/05/2026
EID MUBARAK
MFAMASIA VEDASTUS VENANCE, MFAMASIA WA HALMASHAURI YA KIBONDO
MFAMASIA ISAYA MAPUNDA, MFAMASIA MKOA WA KIGOMA
25/05/2026
BARAZA LA FAMASI LINAKUKARIBISHA KWENYE WEBINAR MAALUM
Mada: Uzinduzi wa Mwongozo wa CPD kwa Wanataaluma wa kada ya Famasi
Wageni/Wazungumzaji:
🔹 Prof. Raphael Sangeda
🔹 Pharm. Boniface Magige
🔹 Prof. Eliangiringa Kaale
Siku: Jumanne, 26/05/2026
Muda: Saa 10:00 jioni hadi Saa 11:30 jioni
Faida: CPD Points 2 zitatolewa kwa washiriki
Link ya Usajili:
https://surl.li/rtjylg
Tafadhali Sambaza taarifa hii kwa wanataaluma wa kada ya famasi na wadau wa sekta ya afya.
Kwa mawasiliano zaidi:
📞 Mfamasia Arapha B. Nshau — +255 785 183 754
BW. FRANK SANGA, KAIMU MGANGA MKUU WA WILAYA KAKONKO
22/05/2026
TAARIFA KWA UMMA
DKT. DAMAS KAYERA, MGANGA MKUU MKOA WA KIGOMA
22/05/2026
Baraza la Famasi limeendelea na zoezi la usimamizi shirikishi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo na Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, Mkoa wa Kigoma.
Timu ya Baraza ilifika katika Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kibondo na kujadili masuala mbalimbali yanayohusu taaluma ya famasi.
Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Dkt. Elizabeth Ntabaye, amesema ujio wa Baraza umesaidia kuwajengea uwezo wataalamu wa famasi utakaowawezesha kufanya kazi kwa weledi.
Naye Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kakonko, Frank Sanga, amelishukuru Baraza la Famasi kwa kuwajengea uwezo na kuahidi kuyafanyia kazi maelekezo waliyopewa na Baraza ili kulinda afya ya jamii.
GEORGE E. MBILINYI, MKURUGENZI MTENDAJI - WILAYA YA BUHIGWE
DKT. MBALUSAKA MADUHU, MGANGA MKUU - WILAYA YA BUHIGWE