10/04/2026
https://dmnewstz.blogspot.com/2026/04/ccm-kibaha-mji-yaja-na-mpango-wa.html
Habari Njema kwa Wanakibaha, utaratibu wa kupata cheti cha kuzaliwa sasa upo kwenye kata yako umekufikia
KARIBU KATIKA UKURASA RASMI WA TAWI LA MWEMBE TAYARI, KATA YA MKUZA| WILAYA KIBAHA MJINI| MKOA PWANI
10/04/2026
https://dmnewstz.blogspot.com/2026/04/ccm-kibaha-mji-yaja-na-mpango-wa.html
Habari Njema kwa Wanakibaha, utaratibu wa kupata cheti cha kuzaliwa sasa upo kwenye kata yako umekufikia
25/03/2026
TAARIFA KWA UMMA
23/03/2026
SAVE THE DATE.. ZOEZI LA KUPATA KITAMBULISHO/NAMBA YA NIDA SASA LIMEREJEA KWENYE KATA YAKO MANISPAA YA KIBAHA. PONGEZI ZIMFIKIE MKUU WA WILAYA NICKSON SAIMON (NIKI WA PILI) KWA KUHAKIKISHA SERIKALI YA DR SAMIA SULUHU HASSAN INAENDELEA KUWAHUDUMIA WANANCHI KWA UKARIBU ZAIDI
30/01/2026
π₯ KIBAHA MJINI π₯
πͺπΎ VIJANA TUNASONGA MBELE!
Kesho Jumamosi tarehe 31/01/2026, tunafikia KILELE CHA MBIO ZA BENDERA
π Viwanja vya Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha Mjini
Ni siku ya umoja, mshik**ano na uthibitisho wa nguvu ya vijana ndani ya Chama chetu.
Vijana wa CCM tuko tayari kulinda misingi ya taifa na kusukuma mbele maendeleo πΉπΏβπΎ
π‘ Tukio litarushwa LIVE kupitia:
π΄ Facebook
π΄ Instagram
π£βTUMECHAGUA UMOJA NA AMANI KWA MAENDELEO YA TAIFA LETUβ πΉπΏ
π£ Karibuni nyote β vijana, wanachama na wananchi!
CCM OYEE! VIJANA OYEE!
13/01/2026
MBIO ZA BENDERA β MIAKA 49 YA CCM πΉπΏ
UVCCM Kibaha Mjini, chini ya uongozi thabiti wa Mwenyekiti wa Vijana Ndugu Ramadhani Kazembe, wanakuletea Mbio za Bendera zenye lengo kubwa na la kizalendo πͺπΎ
Ni mbio za hamasa, umoja na mshik**ano, zikibeba ujumbe mzito wa:
β
Kutangaza na kuelimisha utekelezaji wa Ilani ya CCM
β
Kuhamasisha ushiriki wa vijana, wakina mama na wananchi wa rika lote
β
Kuadhimisha miaka 49 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi β chama cha ushindi, amani na maendeleo πΉπΏ
Mbio hizi si za kasi pekee, bali ni mbio za fikra, mshik**ano na uzalendo, zikilenga kuwakutanisha wananchi wote bila kujali umri wala jinsia, kushiriki kwa pamoja katika kujenga uelewa, moyo wa kujitolea na uzalendo kwa Taifa na Chama.
π₯πββοΈ Vijana jitokezeni kuonesha nguvu na ari ya kizazi cha sasa
π©Wakina Mama mshiriki k**a nguzo muhimu ya jamii
π΄π½π§πΎ Wazee na watoto β mkaribishwa kushuhudia na kushiriki shamrashamra
Kauli mbiu yetu: βKULINDA NA KUJENGA UJAMAAβ
π CCM ni Historia, CCM ni Leo, CCM ni Kesho
Usikose kushiriki β Coming Soon!
23/12/2025
Mwalimu Mwajuma AMIR Nyamka, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kibaha Mjini, anawatakia wana-CCM wote heri ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya wenye baraka tele.
Tunawahimiza kuendelea kusherehekea sikukuu hizi kwa amani, upendo na mshik**ano wa dhati, tukidumisha maadili ya utu, heshima na umoja ambayo yameijenga CCM na Taifa letu kwa ujumla. Tuutumie Mwaka Mpya k**a fursa ya kuimarisha mshik**ano wetu, kuongeza bidii katika kuwatumikia wananchi, na kuendeleza mapambano ya maendeleo, haki na ustawi wa jamii. Umoja wetu ni nguvu yetu, tushik**ane, tushirikiane na kulinda amani ya nchi yetu kwa vitendo na maneno.
19/12/2025
TAARIFA KWA UMMA
Kuhusu Ushiriki wa Meya Dkt. Nicas Mawazo katika Kikao cha Kazi cha Mkuu wa Mkoa na Ziara za Kimaendeleo
Meya wa Jiji, Dkt. Nicas Mawazo, ameshiriki katika kikao cha kazi kilichoongozwa na Mkuu wa Mkoa, kilicholenga kufanya tathmini ya utekelezaji wa ahadi za siku 100 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Katika kikao hicho, Meya alieleza mafanikio yaliyopatikana pamoja na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya jiji, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali ya Mkoa, Halmashauri na taasisi nyingine za umma ili kuhakikisha malengo ya Rais yanafikiwa kwa ufanisi.
Aidha, Meya alikutana na Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa ajili ya kujadili hali ya miundombinu ya barabara, hususan utekelezaji wa miradi ya ujenzi na ukarabati wa barabara, pamoja na mikakati ya kuboresha usafiri kwa wananchi.
Katika kuendelea na majukumu yake, Dkt. Mawazo alifanya ziara katika kituo cha afya kilichopo mkoani, ambapo alipata fursa ya kujionea maendeleo ya huduma za afya, miundombinu iliyopo, pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili wahudumu wa afya. Meya alisisitiza umuhimu wa kuboresha huduma za afya ili kuendana na mahitaji ya wananchi na kuongeza ufanisi wa utoaji huduma.
Meya alihitimisha kwa kuahidi kuendelea kushirikiana na wadau wote wa maendeleo kuhakikisha miradi inayotekelezwa inaleta tija kwa wananchi na kuendana na maelekezo ya Serikali ya Awamu ya Sita.
TAARIFA MUHIMU KWA GEN Z UPATO UJUMBE HUU MWAMBIE NA MWENZIO
06/12/2025
SHUKRANI SHUKRANI π
MIMI SARAH PETER ULED
KWA UNYENYEKEVU MKUBWA NAOMBA NITOE SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWA CHAMA CHANGU CHA MAPINDUZI KWA KUNILEA NA KUNITEUA NIKAWA MGOMBEA NA BADAE KUCHAGULIWA KWA KURA NYINGI KATIKA NAFASI YA UDIWANI VITI MAALUM TARAFA YA KONGOWE.
DUA SALA NA BARAKA ZENU NDUGU ZANGU NDO ZIMEFANYA MPAKA SIKU YA TAREHE 4/12/2025 TULIAPISHWA MADIWANI WOTE WA MANISPAA YA KIBAHA NA KUPATA KIBALI CHA KUANZA KAZI RASMIπ
NIWAOMBE NDUGU ZANGU TUSHIRIKIANE KWA PAMOJA KUENDESHA GURUDUMU LA MAENDELEO KATIKA KATA ZETU TUNATAMBUA IMANI YENU KWETU NA SISI TUNAWAAHIDI HATUTAWANGUSHA
TUISHI KWA UMOJA UPENDO NA MSHIKAMANO HILI TUWATUMIKIE WANANCHI KWA MOYO WETU WOTE
SINA NENO KUBWA LA KUSEMA ZAIDI YA KUSEMA ASANTENI SANA TUKO PAMOJA KATIKA KUZIJENGA KATA ZETU NA MANISPAA YETU KWA UJUMLA
WENU KATIKA UTUMISHI
SARAH P. ULEDπ
04/12/2025
https://www.youtube.com/live/i0TqbhfbCLw?si=9Gq6xKGsDi3CAwnC
Fuatilia Mubashara popote ulipo matangazo ya Kikao Baraza la Kwanza la Madiwani Manispaa ya Kibaha
πππππ LINK HIYO HAPO
KIKAO CHA KWANZA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA KIBAHA KIKAO CHA KWANZA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA KIBAHA@KibahaMunicipal
02/12/2025
TAARIFA KWA UMMA TOKA OFISI YA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIBAHA
πΉπΏ
01/12/2025
HONGERENI SANA KWA KUAMINIWA
| Monday | 11:00 - 20:00 |
| Wednesday | 11:00 - 20:00 |
| Friday | 11:00 - 20:00 |
| Sunday | 11:00 - 20:00 |