28/08/2020
Wapenzi katika BWANA neema ya MUNGU wetu iwe nanyi Amina
Basi wapenzi nawaomba kuacha kulitumia jina YESU k**a kinga ya dhambi kwa sababu yeye ni mpole na MNYENYEKEVU👈
Lakini jueni hasira yake na gadhabu yake ni zaidi ya jehanamu hivyo ogopeni kumtaja YESU kwa ubaya bali kwa wema.
Na mtunzeni ROHO mtakatifu kwa uzuri Amina...

28/05/2020