Babati District Council

Babati District Council

Share

1.1. Mwaka 2004 Halmashauri ya Wilaya ya Babati iligawanyika na kuanzishwa kwa Halmashauri ya Mji kwa mujibu wa GN 352 ya tarehe 17 Septemba, 2004.

HISTORIA FUPI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI
Halmashauri ya Wilaya ya Babati ni mojawapo kati ya Halmashauri 2 za Wilaya ya Babati na ni moja kati ya Halmashauri 6 za Mkoa wa Manyara. Wilaya ya Babati ilizinduliwa rasmi Julai mwaka 1986 baada ya kuanzishwa rasmi kwa tangazo la gazeti la serikali namba 403 la tarehe 1 Oktoba, 1985 la kugawanywa Wilaya ya Hanang’ na kuundwa Wilaya mbili za Babat

Photos from Babati District Council's post 16/08/2018

Mkuu wa Wilaya ya Babati amewashukuru Vijana wanaoshiriki mafunzo ya Jeshi lá akiba .Mkuu huyo ameyasema hayo katika ufunguzi wa Mafunzo ya jeshi lá akiba yanafanyika Kiwilaya Kata ya Kisangaji Kijiji cha Kisangaji Katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati. Aidha amesisitiza Vijana hao kushiriki katika Kazi za maendeleo ili kujiletea maendeleo. Kabla ya Ufunguzi huo Mkuu wa Wilaya ameongea na Kamati za Maendeleo za kata za Magugu, Mwada na kisangaji. Mkuu wa Wilaya Pia ameongozana na wajumbe Kamati za ulinzi na usalama ambao wametoa Ujumbe na ufafanuzi wa mambo mbalimbali.

21/05/2017

Habari za jumapili wapendwa

Want your business to be the top-listed Government Service in Manyara?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address


Babati
Manyara

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00