21/05/2025
Kila wazazi/walezi/walimu wa watoto tupatapo nafasi ya kuwafanya watoto wetu wawe na furaha, tusisite kufanya hivyo...tuwafanye wafurahi matokeo yake watatufurahisha na sisi wakati tunaihitaji zaidi furaha yao. Hapa watoto wako ktk igizo kila mmoja akifurahia nafasi yake.
