02/06/2020
PROF Kezilahabi Archives
tunu zetu zinahifadhiwa na kuendelezwa kupitia ushairi na riwaya za waandishi mahiri wanaotumia lugha fasaha ya kiswahili tujifuze riwaya na ushairi
02/06/2020
Wanahitajika kungwi wa kughani na kutunga mashairi yatakayokidhi vigezo vya kuhakikiwa na wanafunzi wa kidato cha NNE na sita. Shairi moja ni dola 250$ za kimarekani!
12/06/2019
WALIMU HAWA WENYE MSIMAMO THABITI JUU YA TAMADUNI ZETU NDIO HUITWA WANOKO MASHULENI. Nini mtazamo wako juu hili........
09/03/2019
DUNIA SINIA
PAKUA UNACHOWEZA
UTANDAWAZI NI NGONJERA ISIYO NA HADHIRA..
17/02/2019
Tanganyika yetu
Ilijengwa juu ya msingi imara
Wa UMOJA NA USHIRIKIANO..
Katika jamii ile ilioheshimu utu na Uhuru wa kila mmoja wao # # # # #
TUKUMBUKE PEPO YETU......
IN AFRICA, DEMOCRACY IS........... "The government of the some, by the some and for the some..........
Waafrika tujiulize tunafeli wapi?
KUISHI NI KUFA TARATIBU
30/12/2018
Wako wapi watoto wale
Wa mama ntilie
09/12/2018
Ni vizuri tujifunze kitu kutoka katika silika ya malezi na makuzi ya kuku
26/11/2018
Its true
Click here to claim your Sponsored Listing.
