12/02/2023
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Anisa Mbega (wa kwanza kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ubalozi wa Tanzania, New Delhi pamoja na familia zao katika Banda la Tanzania katika hafla ya Maonesho ya Miaka 60 ya ya British School, New Delhi ambapo Ubalozi ulituma fursa ya maonesho hayo adhimu kutangaza vivutio vya utalii, utamaduni pamoja na vyakula vya Tanzania.
22/10/2022
β
We are very proud of πΉπΏ U17 team, the
, who qualified and played quarter-finals for the first time in Tanzania's football history.
You have made the nation proud.
Congratulations our girls! πππ₯π₯πͺπͺ
22/10/2022
β
Serengeti Girls πΉπΏ wakiwa kwenye mazoezi wakijiandaa na mchezo wao wa robo Fainali na Columbia ambao unatarajia kuchezwa leo Goa.
Kila la heri Serengeti Girls Tanzania πΉπΏ πͺππ₯π₯
I
18/10/2022
β
Hongereni sana πΉπΏ kwa kuingia robo fainali
Tanzania πΉπΏ is the first African team to reach knockouts of World Cup πͺππ₯π₯
πΉπΏ1β£ - π¨π¦1β£
I
18/10/2022
πΉπΏ Tanzania and Canada in a decisive encounter tonight π₯
Serengeti Girls you have our full support π
| |