Msipokua' wajanja mtazalishwasana kudadadeki.
Jicho La 3 - Mombasa
Maendeleo Ya Viongozi Wa Mombasa.
07/05/2023
Vijana..wa' County ya mombasa; wanatoa'shukrani kubwasana..kwa Governor wao Abdulswamad sharff nassir; na ma M.C.A...z wao Pamoja na wabunge wao..wakidai'kua hatauhalifu mitaani umepungua..kwakiwango kikubwa zaidi..kwaio wanaomba kuongezwa mdazaidi iliwaweze, kupambana na maisha yao...
22/03/2023
26/09/2022
Habari zenu wadau wetu wa Jicho La 3..?.. tumefanikiwa kupata pictures za MCA..wa miritini; Anaejulikana K**a KIBWANA SWALLEH BAYA.. baada ya'kuapishwa ijumaa iliopita na... jitazamie ww mwenyewe.. muheshimiwa huyu; anafuraha kubwa sana baada ya kurudi kwatamu ya3..
29/08/2022
Kwenye fikrazako; unadhani ninani atakae'kua Governor hapo kesho Mungu akipenda?
27/08/2022
Jicho La 3.. lime'nasa mkutano uliofanyika Jomvu sehemu ya Miritini primary school; naalie fanya mkutano huo,siemwengine bali ni M.CA wao; Hon KIBWANA SWALLEH BAYA..kaajili yakuwa'fungulia Hospital"hapo karibu yao kwa'ajili yakupata matibabu kwaurahisi.. naulifanyika 8-4-2022..
27/08/2022
Jicho La 3.. lina'wakumbusha uchaguzi utakaofanyika 29-8-2022.. itakua sikuya'jumatatu; Tafadhali, tunaomba tudumishe Amani cz kura nisikumoja.. bt kumbuka maisha yata Endelea...👋.
26/08/2022
Jicho La 3.. limenasa mkutano uliofanyika hapa mjini mombasa; sehemu inayojiita Mvita. Akiwa ni Hon abdulswamad.. akijiombea kura ya u governor hapa mombasa je unadhani huenda akajivunia ushindi?
26/08/2022
Jicho La 3; limeshuhudia mkutano uliofanyika"huko" Mtwapanga sehemu ya Bamburi; ukiongozwa na Hon Mike mbuvi sonko. Kwaajili yakumpigia upato Hon Hassan Sarai; je? Kwajuhudi'zao hiziunazoziona unadhani huenda wakaebuka washindi?
25/08/2022
Kulingana'nautafiti nikua; hawa ma Governor wawili unaowaona hapa mbele yako; ndio wanao semesha sana mjiwetu wa mombasa; yote'tisa kumi niii? Unadhani niyupi atakae ebuka kuawamshindi hapo jumatatu? Kazikwenu wadauuu👋😂..
25/08/2022
Jicho La 3.. limenasa mkutano ulio fanyika FRERE TOWN.. mtaa wa Bombolulu ukiongozwa Na Hon MBOGO; kwaajili ya kumpigia upato Hon HASSN SARAI kwakua GORVENOR wa mombasa county.. 29th 8-2022..
22/08/2022
Habari zilizotufikia hii Leo nikua; 29-8-2022 kutakua nauchaguzi. wa ma Governors wetu wa hapa Mombasa; please; Jicho La 3... linawaomba kudumisha amani kwakua; Amani ndio kilakitu kwenye maisha yetu... Asanteni sana na Mungu awa'Bariki.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
47
Mombasa
72944
