Ujasiliamali NA FURSA

Ujasiliamali NA FURSA

Share

Kwa changamoto zozote za kiufundi tupigie kwa namba 0653761750

01/02/2023

Je, umewahi kufikiri kuwa mitandao ya kijamii inaweza kuinua biashara yako?

21/11/2022

Habari ndugu mfugaji.....

Wenye uhitaji wa Sasso wenye wiki 6 na siku 2, wanapatikana kwa gharama nafuu. Idadi yao ni kuku 160 tu.

Mawasiliano 0653761750 au 0787879696

21/11/2022

Vifaranga wa Kuroila wanauzwa kwa bei ya Tsh 1600 tu. Kwa mahitaji pigs cm namba 0787879696

21/11/2022

Kaza moyo na upambane.

21/11/2022

Habari yako.
Je wewe ni mjasiliamali au mfanyabiashara na unatamani kujifunza mbinu zitakazo kusaidia kuinua biashara yako?

K**a ni ndio comment hapo chini Ili tujue wangapi wanahitaji hili darasa.

21/11/2022

Kaza moyo

22/09/2022

Je, wajua kuwa ufugaji umekuwa ndio kimbilio la watu wengi kwa sasa?

Want your business to be the top-listed Government Service in Arusha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Arusha
255