Mwandet Secondary School

Mwandet Secondary School

Share

Karibu upate kilicho bora zaidi kwa malezi ya kijana wa kitanzania Shule ya sekondari mwandet ipo Mkoani Arusha wilaya ya Arumeru katika Kata ya Mwandet.

Jina la shule limebeba jina la kata nzima yenye vijiji vinne; Losikito, engutoto, Engalaoni na Imbibia. Shule ipo katika kijiji cha Imbibia. Shule hii imezungukwa na jamii ya Kimasai hivyo kuwa katika mazingira rafiki ya kusoma bila kuchangamana sana na tamaduni za mijini. Shule ipo umbali wa Kilometa 12 kutoka katika mji mdogo wa Ngaramtoni. Shule ina kidato cha kwanza mpaka cha sita, na wanafunzi takribani 800 wanaotoka maeneo mbalimbali ya Tanzania

KARIBU SANA MWANDET

Want your business to be the top-listed Government Service in Arusha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Ngaramtoni
Arusha
14086