13/12/2022
mkurabita_tanzania
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from mkurabita_tanzania, Government Organization, Babati.
13/12/2022
03/12/2022
Picha katika Matukio: Timu ya wataalam wa tathmini wakijadili jambo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida (Bw. Jeshi G. Lupembe) wakati wa tathmini ya kituo Jumuishi cha Urasimishaji na Uendelezaji Biashara Katika Manispaa ya Singida. Tathmini hii inalenga kubaini Uendelevu na Manufaa ya Urasimishaji
03/12/2022
Picha katika Matukio: Timu ya wataalam wa Tathmini kutoka Chuo kikuu Mzumbe (Dkt. Fred Alfred Rwechungura), TAMISEMI (Bi. Tully Mwamjengwa), Wizara ya Fedha (Bi. Mwajuma Mkupaya) na MKURABITA (Bw. Francis Mjuni) katika tathmini ya Vituo Jumuishi ya Urasimishaji na Uendelezaji Biashara Katika Manispaa ya Singida. Tathmini hii pia itafanyika katika vituo vya Manispaa za Morogoro, Moshi, Iringa, Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Mji wa Njombe, Babati na Majiji ya Arusha na Tanga. Tathmini hii inalenga kubaini Uendelevu na Manufaa ya Urasimishaji
01/12/2022
Matukio katika picha: Zoezi la Upimaji wa majaribio likiendeleea katika Kijiji cha GOIMA, Wilayani Chemba. Hii ni maandalizi ya urasimishaji wa mashamba ya alizeti katika Vijiji vitatu (3) Wilayani humo.
01/12/2022
Matukio katika picha: Mkutano mkuu wa Kijiji cha GOIMA, Wilayani Chemba wakipata ufafanuzi wa Mradi wa Urasimishaji. Mkutano huu uliambatana na Kuidhinisha Majina ya wajumbe wa Kamati ya VAC. Kamati hii itasaidiana na wapimaji katika upimaji wa mashamba ya alizeti unaotarajiwa kufanyika na MKURABITA Kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Babati
