Nabii wa Ndoa/Mahusiano

Nabii wa Ndoa/Mahusiano

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nabii wa Ndoa/Mahusiano, Public School, Masaki, Dar es Salaam.

27/12/2023

KILA NGUVU ILIYOFUNGA MAHUSIANO YAKO USIOLEWE USIZAE USIDUMU KWENYE NDOA IKUACHIE KUANZIA SASA KWA JINA LA YESU

Kila maneno ya laana uliyo tamkiwa na maadui zako kuwa hutaoa hutaolewa, hutazaa, hutadumu kwenye ndoa, nayafuta kuanzia sasa kwa jina la Yesu

Nakutangazia kwa jina la Yesu Utaolewa Utazaa Utadumu kwenye mahusiano mpaka Ndoa, na utapata Watoto na furaha kwenye ndoa kwa jina la Yesu 💟

Kila giza lililofunika nyota yako na uzuri wako ili usionekane na watu sahihi wa kukuoa naliondoa kwenye maisha yako kwa jina la Yesu.

Nuru ya uzuri wako na nyota yako ionekane kwa watu sahihi kwa jina la Yesu 💥

Kila uganga na uchawi uliotumwa kuharibu hatima yako ili thamani yako isionekane na uteketeza kwa moto wa Mungu kuanzia sasa ukuachie kwa jina la Yesu.

Nakuvua kila vazi baya ulilovalishwa linalofanya ukataliwe na watu sahihi kwa jina la Yesu nalichana hilo vazi la giza likuachie

Kila mizimu ya kwenu inayopinga wewe kuolewa na mtu sahihi inayotaka uolewe na watu watakao endeleza uchawi na mira zakwenu ili udidimie kimaisha naivunja hiyo mazabahu ya mizimu kwenye maisha yako kwa jina la Yesu, kuanzia sasa uko huru
🙌

Kila mizimu ya kwenu iliyofunga tumbo ulipo olewa na mtu asiye wakwenu ili uachike na uteseke kwenye ndoa, naiteteketeza kwa moto wa Mungu ikuachie wewe siyo fungu lao kwa jina la Yesu

Kuanzia sasa utapata mimba utazaa, na uzao watumbo lako umefunguliwa kwa jina kuu la Yesu 💯

Kila majini mahaba yanayokutesa yakizuia watu sahihi na mafanikio kwenye maisha yako, nayakemea kwenye kila eneo la mwili wako na maisha yako kwa jina la Yesu yakuachie, hayana nafasi kwenye maisha yako, wewe ni mali ya Mungu hutamilikiwa na majini na mizimu kwa jina la Yesu

Sema mimi ni mali ya Mungu sitamilikiwa na mashetani kwa jina la Yesu 🙏

Kila mapepo yaliyo kuingia kwa njia ya tendo la ndoa ulilofanya na watu wasio sahihi, au kwa ndoto za wachawi usiku, yanayo sababisha wewe kupoteza nuru yako mume mke hana furaha na wewe. Nayaondoa ndani yako kwa jina la Yesu

Nakutakasa kwa damu ya Yesu kuanzia sasa wewe ni kiumbe kipya kwa damu ya Yesu, mumeo atakufurahia mkeo atakufurahia kwa jina la Yesu.

Nafuta roho ya taraka na kuachika inayosumbua ukoo wenu na kabila lenu. Wewe hutaachika kwa jina la Yesu.

NAKUTANGAZIA KUWA KUANZIA SASA UMEKUWA HURU VIFUNGO VIMEKUACHIA KWA JINA LA YESU. NAKUANZIA SASA UTAONA MABADILIKO KWENYE MAHUSIANO, NDOA, UCHUMI, NA MAISHA YAKO.

✍by Mtumishi Fahim 0716 822126 Whatsapp

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee

Maombi na ushauri 0716 822126

20/11/2023

DALILI 31 ZA MAJINI_MAHABA👹 ZINAVYO FUNGA MAHUSIANO/NDOA NA MAFANIKIO.

1️⃣.Kuwa na dalili zote za mimba,lakini ukipima hakuna mimba

2️⃣.Kitu kucheza tumboni k**a mtoto..
3️⃣.kuchukiwa na watu bila sababu yoyote, na kila ufanyalo wanaona ni baya tu.

4️⃣.Kujiona Bora Sana kuliko mtu yeyote
5️⃣.Kupenda kujitenga na watu
6️⃣.kuwa na hofu kupita kiasi..

7️⃣.Kutokewa na jini live kupitia umbo la Binadamu na kufanya nae (s*x/ngono) kwa njia ya ndoto...

8️⃣.Ahadi za ndoa kutotimia..wewe ni wa Kuahidiwa tu, nitakuoa/tutaowana, lakini huoi wala huolewi.

9️⃣.Kukataa kila mwanaume/Mwanamke anayetaka/kuonesha Nia ya kukuoa/kumuoa

➡️Kujiona mdogo hujafikia umri wa kuolewa/kuoa wakati unamiaka sahihi ya ndoa

1️⃣0️⃣.Kutamani kuolewa /Kuoa baada ya Muda wa kuoa/Kuolewa kupita.

1️⃣1️⃣.Kulazimisha kuoa au Kuolewa na bado ndoa inakuwa ngumu,

1️⃣2️⃣.Kukimbiwa na wachumba..bila sababu ya kueleweka hata ukiwauliza hawana sababu zaidi unajifariji kuwa hawakuwa sahihi na wakati wa Mungu bado kumbe unavifungo.

1️⃣3️⃣.Mipango ya Ndoa kutofanikiwa kabisa.

1️⃣4.Ugomvii ,migogoro na mwenza wako. Cha ajabu akiwa mbali una mmiss unatamani awe karibu na wewe,, akifika unatamani aondoke tu....

1️⃣6️⃣Kuwa na hasira Kali Sana, hasa unapoamka asubuhi...

Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa, ukipona P.I.D,Fangas U.T.I. mala Uvimbe kwenye kizazi, hizo zote ni mbinu za (jini mahaba) hutumia kukufunga..

1️⃣9️⃣.Kukosa hamu kabisa ya tendo landoa na mume/mke, wakati homon zako ziko sawa.
Unasingizia kuwa ni saikolojia issues, kwa sababu uliumizwa unahitaji mtu akuelewe.

2️⃣0️⃣Migogoro isiyoisha na isiyo na sababu ya maana katika mahusiano au ndoa

2️⃣1️⃣Kuchukia kabisa Kuoa /Kuolewa

2️⃣2️⃣Kuota unalea watoto/mtoto

2️⃣3️⃣.Kuota unanyonyesha

2️⃣4️⃣Kuota umejifungua

2️⃣5️⃣.Mimba kutoka

2️⃣6️⃣Kuota unafanya s*x
2️⃣7️⃣.Kuota unaolewa/kuoa
2️⃣8️⃣Kuota unafunga ndoa
2️⃣9️⃣Kuchukiwa au kuchukia mme/Mke

3️⃣0️⃣Huwezi kumpa mimba mkeo lakini michepuko inabeba mimba zako.
Huwezi kubeba mimba ya mumeo lakini ya michepuko unabeba.

3️⃣1️⃣ Huyu jini ana tatizo la kufunga uchumi pia, anakupa uvivu wakutopenda kufanya kazi kabisa. Ukishika pesa hujui zimetumikaje lakini zimeisha.
SEMA BWANA_YESU NIOKOE NA ROHO YA JINI MAHABA


+255716822126

0716 822 126 WHATSAP
✍️By Mtumishi Fahim Rasham💥

Niandikie ujumbe messenger majina yako mahali unaishi, namba ya cm na mahitaji yako nikuombe🙏

14/11/2023

JINSI YA KUJENGA NDOA NA MAHUSIANO BORA💥

Nyumba hujengwa na vitu vingi ikiwemo msamaha na matumizi ya kinywa. Mama anapojua kutumia vizuri kinywa chake anayo nafasi kubwa sana kuiponya na kujenga hata kuimarisha ndoa yake.
MITHALI 9: 13💥 MITHALI 14: 1 - 5💥

Hili hutokana na majibu yake pale anapoongea na mume wake kwa kauli nzuri njema zenye kuvutia na kubembeleza; hulka ya mwanamke ni upole na kauli zake ni za kipole maneno matamu yenye kuvutia na kubembeleza hata k**a mtu kapandisha hasira kwa jibu na kauli yako ya upole

Unamshusha sawa na Neno la Mungu lisemavyo katika MITHALI 15: 1 💥ya kwamba "Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu."

Sio kila jambo unatakiwa kulitolea ufafanuzi ama kuongea, wakati mwingine jishushe tu omba msamaha hata uonapo umekosewa na kuonewa kisha nyamaza kimya maana kazi ya utetezi si yako bali ya Mungu wako yeye atasimama kukutetea kwa njia yake mwenyewe.

Kunyamaza ni hekima, maana maandiko yanasema kwamba "Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara. Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu." (MITHALI 17:27-28) na AYUBU 13:5 💥inasema kwamba "Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu."

kumbe basi kuna muda inakupasa kunyamaza kimya tu si kwa kiburi au dharau ila kuipisha ghadhabu tu.

Sote twafahamu ya kwamba ulimi ni kiungo kidogo lakini kina madhara makubwa sana kulingana na Neno la Mungu kutoka YAKOBO 3:5-6; 💥hivyo basi k**a mke chunga ulimi wako
▪Jishushe
▪Omba tu msamaha ubebe ubaya
▪Nyenyekea na kujishusha
▪Nyamaza kimya usifumbue mdomo wako kuongea ukiwa na hasira maana hasira haifanyi kazi na hekima hata siku moja.
▪Usiwe mwanamke wa kupiga piga kelele tu na kuongea sana

MITHALI 10:19 💥inasema kwamba "Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili." angalia katika kuongea kwako sana unakwaza na kukosea na WAEFESO 4:31💥 inatuonya ya kwamba "Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya"

Wewe ni mke jenga ndoa yako kwa kutumia kinywa chako na msamaha mwombe Roho wa Mungu akusaidie kujishusha, kuachilia, kusamehe, akupe hekima ya kiMungu ambayo ni safi, yenye amani, upole,iliyo tayari kusikiliza, imejaa rehema (msamaha), yenye kutenda mema isiyo na unafiki wala fitina (YAKOBO 3:17-18💥)

✍🏼 Mtumishi Fahim 0716 822126 Whatsapp 💥

Maombi na ushauri Whatsapp 0716 822126 🙏

03/11/2023

KABLA YA MWAKA HUU KUISHA, CHAGUA KWA IMANI KITU UNACHOTAKA MUNGU AKUTENDEE NA UTAPOKEA KWA JINA LA YESU 🙏🙏🙏🙏🙏🙏💯

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee 👏

Maombi na ushauri 0716 822126 Whatsapp

12/09/2023

THAMINI CHOCHOTE ULICHO NACHO🤔

(1) K**a upo SINGLE na umekazana kusema* siamini mtu katika MAPENZI" kumbuka rafiki zako wanaoa na kuolewa kila siku acha mawazo hasi omba MUNGU akujalie mwenza wa maisha ambae utaendana nae.

(2) K**a upo ndani ya ndoa na umekazana kusema NACHUKIA HII NDOA huoni wanandoa wengine ambao wanasherehekea jubilee ya miaka 20 ya ndoa zao? omba MUNGU aiponye ndoa yako.

(3) K**a umekazana kusema NAACHANA NA MUME WANGU SABABU ANANISALITI" tafadhali hebu nenda mjini pita maeneo uone wanawake Malaya wenye uchu ambao wanamsubiri kwa hamu mumeo wamchune vizuri ambao kwao hawajali ku share mwanaume omba MUNGU aitengeneze ndoa yako.

(4)K**a unasema NAICHUKIA KAZI YANGU" angalia maelfu ya vijana ambao hawana ajira wanazunguuka kila siku na bahasha maofisini vipi unataka kujiunga nao? hebu kuwa na SHUKRANI!

(5) Unasema unapachukia unapoishi tafadhali nenda kawatembelee watoto wa MTAANI uone mazingira magumu wanayoishi mshukuru MUNGU walau unalala hata kwenye kigodoro.

(6) Wengine husema nimechoka na haya maisha sawa nenda mahospitalini na uone watu wanavyopigania uhai wao, nenda mochwari na utazame na uniambie unafikiri nini! Chamuhimu ni kumshuku MUNGU.

Hebu nisikilize kwa makini...

Kutambua thamani ya miaka minne au mitatu muulize muhitimu wa chuo kikuu.

Kutambua thamani ya mwaka mmoja muulize mwanafunzi alifeli mtihani wake wa mwisho, kutambua thamani ya miezi tisa muulize mama aliyejifungua mtoto aliye njiti.

Kutambua thamani ya wiki moja muulize mhariri wa gazeti linalotoka kila wiki.

Kutambua thamani ya dakika moja muulize abiria aliyeachwa na usafiri wa ndege, bus au treni.

Kutambua thamani ya sekunde moja muulize mtu yeyote aliyenusurika katika ajali.

Furahia kila dakika ambayo Mungu amekupa kuendelea kuvuta pumzi yake acha kulalamika maisha ni jinsi wewe unavyoishi.🙏

By Mtumishi Fahim 0716 822126 💥

Ushauri na maombi 0716 822126 Whatsapp

28/05/2023

MAOMBI KWA MWANAMKE ANAETAKA BARAKA YA WATOTO NA MUME🙏

1). Ee Bwana, hapo mwanzo, tamko lako kwa wanadamu lilikuwa kuzaa, kuongezeka, na kuijaza dunia, ninasimama kwa neno lako leo na ninatangaza kuzaa watoto watakao miliki na kutawala mataifa kwa jina la Yesu.🙌

2). Ibrahimu, Isaka, na Yakobo wote walikuwa na watoto wa agano na leo fanya agano na watoto wa tumbo langu Bwana kwa damu ya Yesu 🙏

3). Ee Bwana! Ninatangaza leo kwamba nitazaa watoto wangu utawazidisha hakutakuwa na umasikini wala magonjwa katika uzao wangu kwa jina la Yesu.🙌

4). Mwanzo. 15:5, Ee Mungu uliyemtembelea sarah pamoja na Isaka na Hana pamoja na Samweli, baba nitembelee leo kwa jina la Yesu.🙌

5) Ee Bwana, chini ya agano jipya, Yesu alilipa sadaka kwa ajili ya kuzaa kwangu, kwa hiyo ninapokea Watoto wangu leo ​​kwa jina la Yesu.🙌

6). Ninaamini kwamba kile mwanadamu anachokiona hakiwezekani kinawezekana kwako Mungu unaweza kunipa Mume na watoto nina kuamini. katika jina la Yesu.🙌

7). Ee Bwana, naamuru kila ugonjwa unaohusiana na uzazi katika mwili au damu, k**a ugonjwa wa fibroids, ugonjwa wa kuvimba kwa pelvic'(PID), uvimbe wa ovari, kuziba kwa mirija ya fallopian, magonjwa mengine ya zinaa au magonjwa ya zinaa, jina lako lolote ninakuamuru. toweka katika mwili wangu kwa jina la Yesu.🙌.

8).Ee Mungu , niondolee leo sababu ya msingi inayo zuia nisikutane na mume wangu na kufanya nisiolewe, na ile ya utasa inayozuia nisizae watoto wangu.

Nifanye mama wa mataifa mwenye watoto watakao tawala kila nafasi ya heshima kwenye dunia hii kwa jina la Yesu.🙌

9). Baba yangu na Mungu wangu, nikumbuke k**a ulivyomkumbuka SARAH na kulifungua tumbo lake,
Unikumbuke leo, unisikilize maombi yangu leo, na ufungue tumbo langu leo ​​kwa jina la Yesu.🙌

10). Ee Bwana, nibariki leo kwa baraka zako zote, kwa jina la Yesu.🙌

11). Ninatabiri kwamba hakutakuwa na utasa wowote katika maisha yangu tena kwa jina la Yesu.🙌

12). Ee Bwana, fungua kila baraka uliyo ahidi kwenye maisha yetu kwa jina la Yesu 🙌

13). Ee Bwana, kwa mkono wako wenye nguvu, nabadilisha jina langu kutoka kwa mama mwenye utasa hadi mama wa watoto wengi kwa jina la Yesu.🙌

14). Ee Bwana, natangaza tumboni mwangu leo, "Tumbo, Sikia Neno la Bwana, Funguka na uwabebe Wanangu ndani" yako na walio toka ndani yako wakawe wenye baraka kwa jina la Yesu.🙌

15). Baba, nipe ushuhuda wangu wa watoto wa miujiza kutoka kwako kwa jina la Yesu🙌

16). Ee Bwana, mponye mume wangu mke wangu, kutokana na ugonjwa wowote unaohusiana na uzazi kwa jina la Yesu.🙌

17). Ee Bwana, huzuni yangu yote inayotokana na utasa imetundikwa msalabani kuanzia leo. Sasa ni zamu yangu kubeba watoto wangu kwa jina la Yesu.🙌

18). Aibu zote za utasa maishani mwangu nazifuta kuanzia sasa, kwa jina la Yesu🙌

19). Ninatangaza kwamba wale wote wanaonidhihaki leo, watakuja hivi karibuni na kusherehekea pamoja nami kwa jina la Yesu.🙌

20). Ee Bwana, usinihukumu kwa kipimo cha imani yangu juu ya maombi yangu. Acha mvua ya rehema inianguke leo na ufungue tumbo langu uzao wangu kwa jina la Yesu.🙌

21). Ee Bwana, fanya tumbo langu liwe sehem sahihi ya kuumba watoto wenye hatima kubwa kutoka kwako, kwa jina la Yesu.🙌

22). Ee Bwana, niweke kwenye ndoa yangu, unifanye mama mwenye furaha unipe watoto wenye baraka yako kwa jina la Yesu.🙌

23). Ee Bwana, neno lako litangaze kwamba hutafunga tumbo la uzazi! Chochote ambacho kimefunga tumbo langu, natangaza wazi Sasa!!! Katika jina la Yesu Kristo kiachie🙌

24). Ee Bwana, niokoe na aibu, nipe watoto wangu mwenyewe leo kwa jina la Yesu.

25). Niwe huru kutoka kwa kila mume wa kishetani au mke wa kishetani anayepingana na uzao wangu kwa jina la Yesu🙌

UNAWEZA UKATOA SADAKA YAKO YOYOTE, ISIMAME K**A AGANO KWA MAOMBI YAKO NA KUMBU KUMBU NA MAJIBU MBELE ZA MUNGU DAIMA 🙏

VODA MPESA : 0758 601212
TIGO PESA : 0716 822126
Majina FAHIM MAKAME 🙏

Ni mimi Mtendakazi pamoja na Kristo Bwana wetu.

Mtumishi Fahim Whatsapp 0716822126 💥

26/05/2023

YAFAHAM MAISHA YA MAHUSIANO💓 NA NDOA❣

Maisha ya ndoa ni safari na ninayafananisha na mtu/watu wanapoanza safari kwa gari/ndege /meli nk.

Kwenye safari yoyote kuna mambo mengi hata k**a aina ya usafiri ulioutumia ni bora namna gani hutakosa changamoto mbali mbali kwenye safari yako mpaka ufike.

Unapoanza safari yoyote ile ndio maana tunashauri usianze safari pasipo maombi,maombi sio kwamba yatazuia changamoto za safari bali maombi yatakushindia dhidi ya changamoto za Safari.

Kwenye safari kuna changamoto za matuta wakati mwingine yumkini hukuona kuwa mbele kuna tuta mara unashangaa umelivamia.
Kwenye ndoa yaweza kuwa tuta ni changamoto ya Uchumi au kuchelewa kupata mtoto/watoto.
Ni jambo ambalo wengi tunapoingia kwenye ndoa hatujui k**a Uchumi wetu utakuwaje , hatujui muda gani tutapata watoto,hili linaweza kuwa Tuta, lakini tuta haliwezi kukuzuia kuendelea na safari yako.

Kwenye safari waweza kukutana na Traffic akakwambia usimame labda umeovertake ,labda gari inadaiwa,labda gari limejaza watu wengi nk.
Na kwenye ndoa kuna vitu tutakutana navyo vinaweza kutusimamisha na kuchelewesha ndoto zetu za ndoa, inaweza kuwa Madeni, yaweza kuwa kukosa kazi lakini hakuna aliyeahirisha safari kwasababu amek**atwa na Traffic,lazima ufanye ufanyavyo ili safari yako iendelee

Mambo k**a magonjwa,mambo k**a madeni,mambo k**a kukosa kazi ni Traffic kwenye ndoa lakini chonde chonde usiruhusu ndoa yako iishie hapo kwasababu ya Ugonjwa, kwasababu ya madeni, kwasababu ya kukosa kazi.Safari lazima iendelee

Kwenye safari kuna vitu k**a barabara mbaya,vumbi,mashimo nk haya nayo yanaleta karaha, lakini hakuna aliyeamua kusitisha safari kwasababu ya vumbi , mashimo na tope vilivyowahi kuzuia watu wasifike.Vumbi likizidi watu wanafunga madirisha, mashimo yakizidi watu wanafunga mikanda,tope likizidi watu wanaweka S,au gari likikwama wanatafuta majembe,kulitoa gari lakini hakuna aliyewahi kuliacha gari lake kwenye tope.

Kwenye ndoa Kuna wakati mtaingia kwenye tope, kuna wakati ndoa itapata upepo na vumbi la kutosha yaweza kuwa maneno ya watu,ndugu kutaka kuwagombanisha tafadhali vaeni mikanda,uwezo wa kuinusuru ndoa yenu uko mikononi mwenu.

SIKIA
Ndoa yako imedumbukia kwenye tope,imeingiliwa na kahaba,katafute nyenzo itoe ndoa yako usikubali kuitupa kwenye tope na kuiacha.

Safari ya ndoa ni ndefu sana lakini ukijua kuwa ndoa ni safari na kwenye kila safari kuna changamoto mbali mbali lakini changamoto hazituzuii kufika salama, jitahidi sana usishuke kwenye gari kabla ya mwisho wa safari yako

Nakuombea safari yako iwe njema hata k**a utakutana na magumu kwenye hiyo safari usiache kuvaa mkanda,boots, kufunga vioo ili Mradi ufike salama

Je ni changamoto gani unapitia kwenye ndoa yako? nakuombea usikubali kuacha ndoa yako kwasababu ya huo upepo wa muda, kwasababu ya hilo tope, kwasababu ya hilo vumbi,nk.
Neema ya Mungu ikubebe nakuona ukifika Mwisho salama Tena kwa ushindi.

Nyumba hujengwa kwa hekima, Na kwa ufahamu huthibitika, Na kwa maarifa vyumba vyake hujazwa Vitu vyote vya thamani na vya kupendeza. (Mithali
24:3-4)💥

K**A UNAPITIA CHANGAMOTO YOYOTE KWENYE MAHUSIANO NA NDOA YAKO😭 NJOO NIOMBE NA WEWE NA MUNGU ATAKUTOA KWENYE HAYO MATESO NAKUKUPA FURAHA KWA JINA LA YESU 🙌

Maombi na ushauri 💚Whatsapp 0716822126

By Mtumishi Fahim 💥 Whatsapp 0716822126 🙏

01/05/2023
22/03/2023

SIFA ZA MWANAUME AU MWANAMKE ALIE FUNGWA KICHAWI👹 KWENYE NDOA NA MAHUSIANO♥

1.💥 Hapendi kutulia nyumbani yani hajisikii amani kuwa nyumbani kwake hata akifika nyumbani anakuwa mtu wa hasira na visa visa ili amani ipote tu kwenye nyumba😪

2.💥 Hamfurahii mume wake mke wake au mchumba wake, anapokuwa karibu na mke wake au mchumba wake anajisikia hasira bila sababu, anaweza kujikuta anamtamkia maneno mabaya tu makusudi

Mnaweza kuongea vizuri mkiwa mbali lakini mkiwa karibu tu hamjui ugomvi umetokea wapi mnakorofishana kwa kitu kidogo ugomvi unakuwa mkubwa unachukua mda mrefu kuisha kusameheana inakuwa vigumu mpaka mnataka kuachana, hivyo ni vifungo kwenye eneo la ndoa na mahusiano yenu.

3.💥 Kila mnapo waza future au maendeleo yakujenga familia au yanayo wafanya muwe pamoja lazima mtamaliza kwa ugomvi au kutokuelewana, matokeo yake mnaona bora muache tu kuongea hiyo mipango ya maendeleo ya familia au ndoa,
Mnaamua kila mtu afanye analoona linafaa, mnakosa mwafaka na mapatano ya pamoja kwa jambo linalowafanya muwe k**a mke na mume au k**a mtu na mchumba wake.

4.💥 Mda mwingi mahusiano yenu yametawaliwa na visasi na kuhesabiana makosa kifupi hayana msamaha makosa ndiyo nguvu ya mahusiano ukifanya jambo dogo unakumbushwa makosa ya nyuma ambayo ulihisi yameisha ukiona hivo ujue kuna mmoja kati yenu anavifungo au wote mumefungwa mnatakiwa maombi ya ukombozi wa ndoa na sadaka

5.💥 Mnaishi kwa kulinganishwa na watu wa inje au ma ex waliopita. Mfano utaambiwa wanaume wenzako hawako hivo au wanawake wenzako hawako hivo, au tangu nimeanza kuwa namahusiano sijawahi kuwa na mwanaume asie jitambua k**a wewe au sijawahi kuwa na mwanamke mjinga k**a wewe,

Ukiona hivi jua kuna shida ipo kati yenu kuna vifungo vime wafunga kwenye eneo la mahusiano na ndoa ukiwa na tabia hizi hakuna siku utaona amani kwenye ndoa au mahusiano yako.

6.💥 Hakuna malidhiano kwenye jambo lolote hasa kwenye tendo la ndoa utakuta malalamiko ya kutokutoshelezana na migogoro ya kila mmoja anataka mwenzake afanye anachota yeye na siyo anachotaka mwenzake kifupi kila mtu ni mbinafsi ameshikilia misimamo yake, Hilo nalo ni kifungo.

7.💥 Mikinzano ya kiimani na chaguo, mmoja anaamini hivi katika hili na mwingine anaamini vingine katika hilo. Ukichagua hiki anakwambia umekosea ungechagua kile baba ana chaguo lake na mama anachaguo lake, baba ana vitu vyake na mama ana vitu vyake baba ana watoto wake anao wapenda na mama ana mtoto wake anaempenda, mmoja akirudi saa 4 usiku mwingine anarudi saa 6 usiku.

Ukiona hivo kwenye ndoa au mahusiano hamuwezi kwenda mbali mwisho wasiku mtasaritiana na inaweza kwenda mbali mpaka mkawekeana sumu kabisa mkauwana, hii hali nikifungo cha adui kibaya kinacholenga kuleta hatari kwa watoto na mauti ya ndoa.🙏

Ukiona unapitia hii hali kwenye ndoa na mahusiano usichukulie ni kawaida hii hali inaweza kugarim maisha yako mpendwa ukapoteza uhai wako,

Njoo niombe na wewe yupo Yesu anae rejesha mahusiano na ndoa zilizoshindikana na kugeuza mioyo ya wana ndoa au wachumba walio chukiana na kurejesha upendo ndani yao wakasahau maumivu ya ndoa na mahusiano 💓

SEMA BWANA YESU NAKUKABIDHI MAHUSIANO NA NDOA YANGU PIA NAKUKABIDHI MUME WANGU MKE WANGU UMTAWALE WEWE NAKATAA SHETANI KUINGILIA NDOA YANGU KWA MLANGO WOWOTE ULE NIFANYE KUWA BORA KWA MWENZANGU NIWE CHANZO CHA FURAHA NA AMANI KWENYE NDOA YANGU KWA JINA LA YESU AMEE🙏

By Mtumishi Fahim Whatsapp 0716822126

Mungu akubariki🙌

11/03/2023

SIRI YA KUPENDWA💓 NA UNAEMPENDA💞 NI HII
✍by Mtumishi Fahim💥

Ndoa nyingi na mahusiano mengi yanavunjika siyo kwa sababu watu hawa jui kupenda laa! Wengi wanupendo wa kweli kwa wale wanao wapenda lakini wao hapendwi k**a wanavyo penda❣😪

Maana kupendwa ni kibali maalum mtu hupewa na Mungu, kinaenda kukaa kwenye moyo wako kinakuwa na nguvu kubwa ya ushawishi ukimpenda mtu kile kibali kinaena na upendo wako ndani ya moyo wa huyo mtu kinamtafasiria upendo wako kwake, hivo anashawishika kukupenda zaidi na kukuamini na kuridhika na wewe asione mwingine zaidi yako hapo ndipo utaona raha ya kupenda.🤝

UPENDO NI NINI ❣

Upendo wa mahusiano ya kimapenzi au uchumba ni k**a nguvu ya mwanga wa tochi 💥 unapo mulika unatakiwa ugonge sehem kisha ukurudie, lakini unapo mulika mwanga ukaenda tu ndiyo unakuta hupati maana ya kuwasha tochi

Moyo ni k**a tochi na upendo ndiyo mwanga💥 wake, unapo penda, moyo unatamani upendo ugonge kwenye moyo mwingine ili urudishe upendo, upendo unapo kurudia ndiyo unaona thamani ya ndoa au mahusiano.

Lakini ukipenda na usipendwe unakuwa k**a mtu alie mulika mwanga angani, maana mwanga haumrudii hivo unakuwa hauna maana kwake. Hivyo hata moyo ukikosa upendo kwa unae mpenda una umia na kupoteza ujasiri wakupenda na unakata tamaa.

KWANINI IMEKUWA NGUMU KUPENDWA❤️ NA UNAE MPENDA💓?

Jibu ni kwamba watu wengi wamepoteza kibali au mvuto wa kupendwa na wanao wapenda kwasababu shetani au wachawi wamewaibia nyota au kibali katika ulimwengu wa roho ili kuharibu hatima za watu katika mahusiano na ndoa💘 ili ukipenda usipendwe ili umizwe moyo uchukie kupenda😭.

Niki biblia kabisa wewe kupendwa na unae mpenda 📕YOHANA 13: 34💥 ukisoma hapo utaona Biblia inasema amri mpya nawapeni pendaneni kwahiyo wewe kupendwa na unae mpenda ni haki yako na Mungu asingesema hivo k**a alijua hilo jambo haliwezekani alisema hivo kwakuwa alijua inawezekana, na kunakitu amekiumba ndani ya moyo wa mtu kinacho sababisha apendwe na anae mpenda💯

Wetu wengi wanalia kwenye mahusiano na ndoa kwa sababu hawapati upendo kamili kutoka kwa wale wanao wapenda🤦‍♀️, unaona k**a kuna nguvu iko moyoni mwako unajaribu kuionyesha kwa hisia na matendo lakini unaona k**a yule unaempenda haelewi ile nguvu ya upendo ulio nao kwake💓

Nikwasababu huna nguvu au kibali moyoni mwako kinachoenda na upendo wako moyoni mwa yule unaempenda kikamtafasiria upendo wako kwake, kisha kikazalisha upendo ndani ya moyo wake na yeye akakulipa upendo 💞 matokeo yake unalipwa maumivu na kusaritiwa😭 na kuchukiwa na yule unae mpenda💘 wakati mwingine ana kuona k**a huna thamani wala maana yoyote kwake.
Mpendwa hakuna mtu ambae hana thamani wala maana yoyote maadam yuko hai

Mungu hawezi kukupa uhai k**a maana yako na thamani yako imeisha hapa duniani, bali umepoteza kibali au nyota ya kupendwa😢 ndiyo maana unateseka Kwenye ndoa na mahusiano, ukipoteza hicho kibali cha kupendwa unaweza kushanga hata vitu vya kawaida k**a biashara pesa mafanikio kazi huvipati, vinakukataa kwakuwa unavipenda lakini vyenyewe havi kupendi. Unatakiwa maombi ya kurejesha kibali chako au nyota yakupendwa💓

Moyo ni k**a sumaku na upendo ni nguvu yake, yule unaempenda anatakiwa awe k**a chuma ukitupa upendo kwake yeye anatupa upendo wa nguvu k**a ya chuma ana tafasiri ile nguvu ya upendo wako kwake hivo moyo unanasa kwa nguvu ya upendo

Yeyote unae mpenda anaweza kukupenda lakini unahitaji nguvu ya Mungu iumbe nguvu ya ushawishi ndani yako ili unapo mpenda mtu, ile nguvu iingee ndani ya moyo wa yule unae mpenda na imshawishi kukupenda zadi k**a unavyo mpenda, yani upendo wako uwe k**a mbegu unapo mpenda mtu uingie kwenye moyo wa huyo mtu unae mpenda na kuzalisha upendo zaidi na ajikute amekupenda wewe k**a unavyo mpenda au zaidi.

K**A UMEPOTEZA KIBALI AU NYOTA YA KUPENDWA, UNAPENDA WEWE HUPENDWI NJOO NIKUOMBEE MUNGU AKUPE AU AKUREJESHEE KIBALI NYOTA💥 YA KUPENDWA NA KILA UNACHO KIPENDA❣
Maombezi Whatsapp📲 0716822126🙏

✍️ by Mtumishi Fahim💥
Whatsapp 0716822126

Mungu akubariki sana

01/01/2023

MWAKA 2023💥 NI MWAKA WA KUPENDELEWA
NA KUTIMIZIWA MAHITAJI YETU NA MUNGU 💯
UNATAKA MUNGU AKUTENDEE NINI 2023✍ANDIKA
Je Unataka upate Mume au mke❣
Je Unataka upate watoto💥
Je Unataka upate mchumba sahihi💕
Je Unataka upendwe na mwenzi wako💞
Je Unataka amani kwenye ndoa yako🤝
Je Unataka upate kazi nzuri ✍
Je Unataka ukue kiuchumi📲
Je Unataka upate pesa nyingi💵
Je Unataka upandishwe cheo👨‍🎓
Je Unataka upone magonjwa sugu 🤦‍♀️
Je Unataka ujenge nyumba yako🏘
K**a una amini Pokea haki yako kwa jina la Yesu🙌

Tuandikie sms inbox 📥 majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako tukuombee🙏🙏

01/01/2023

MWAKA 2023💥 NAKUOMBEA UPATE💯
KAZI NZURI🙏
MUME MZURI🙏
MKE MZURI🙏
NYUMB NZURI🙏
GARI ZURI🙏
WATOTO WAZURI🙏
AFYA BORA 🙏
POKEA KILA HITAJI LA MOYO WAKO KWA JINA LA YESU 🙏

Tuandikie sms inbox 📥 majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako tukuombee 👏 upokee muujiza wako kwajina la Yesu

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Masaki
Dar Es Salaam