Tanzania people's Defense Force -TPDF

Tanzania people's Defense Force -TPDF

Share

To provide Truely Information.

05/04/2023
20/03/2023

Tanzania yaipa Malawi Helikopta 2 na dola milion 1

Photos from Tanzania people's Defense Force -TPDF's post 19/03/2023

MKUU WA JKT AHITIMISHA MAFUNZO YA VIJANA, OP JENERALI VENANCE MABEYO KATIKA CHA RWAMKOMA, MARA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Rajabu Mabele ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuliwezesha Jeshi la Kujenga Taifa kuendesha Mafunzo ya Vijana wa Kitanzania

Meja Jenerali Mabele ameyasema hayo wakati akihitimisha Mafunzo ya Awali ya Kijeshi kwa Vijana wa Kujitolea Operesheni Jenerali Venance Mabeyo katika kikosi cha Rwamkoma JKT Mkoani Mara.



Sanjari na Hilo, Amewasihi Vijana hao kutunza afya zao pamoja na kujiepusha na matumizi ya Madawa ya kulevya

Nae Mkuu wa Jeshi la Kujenga Uchumi Zanzibar (JKU) amewapongeza Vijana hao kwa kuitimu mafunzo yao na kuwataka kwenda kukiishi kiapo chao

Akimkaribisha Mkuu wa JKT kutoa nasaha na kufunga mafunzo hayo, Mkuu wa Tawi la Mafunzo JKT Kanali Aisha Matanza amesema, Vijana hao wamewawakilisha Vijana wenzao katika makambi yote yaliyoendesha Mafunzo hayo.

Akitoa taarifa ya Mafunzo, Kamanda Kikosi cha Rwamkoma JKT, Luteni Kanali Gaudencia Mapunda amesema

Vijana wa Kujitolea Operesheni Jenerali Venance Mabeyo yalifunguliwa Novemba 28, 2022 katika Makambi ya JKT yaliyoendesha Mafunzo hayo yalliyochukua majuma 16 ambapo yalianza kuhitimishwa kwa tarehe tofauti kuanzia Machi 7, Mkuu wa JKT amefunga zoezi la uhitimishwaji wa mafunzo hayo.

17/03/2023

Ajira Mpya Jwtz/JKT

09/03/2023

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wametangaza nafasi za kujiunga na Jeshi hilo leo Machi 9, 2023.

.

06/03/2023

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


Upanga
Dar Es Salaam