Viwanja & Nyumba Tanzania

Viwanja & Nyumba Tanzania

Share

Viwanja & Nyumba Tanzania

Ni kampuni inayo jiusisha na uuzaji wa viwanja na nyumba mikoa yo

02/10/2025

Wallpaper pc 25,000
Gundi box 10,000
Ufundi 15,000 kwa kila pc

02/10/2025

Wallpaper pc 25,000
Gundi box 10,000 inabandika pc 3
Ufundi 15,000 kwa kila pc

0686201899/0716197609

20/10/2024
21/05/2024



-Tuna husika na :-

1) KUPAKA RANGI ZA MAJUMBA
2) UJENZI ( plaster )
3) BRANDARING NA KUFUNIKA BOARD
4) UREMBO WA MAJUMBA (mchanga na cement)
5) KUJENGA TILES
6)KUCHOMEA (madilisha na milango ya chuma)
7) KUPAUA
8) Plumbing (bomba

maelezo zaidi tunapatikana...
.....KINONDONI/DAR ES SALAAM

Au tupigie
-SIMU no. 0716 197609
0686 201899

-Email address:-
[email protected]

Kwa picha zaidi za Kazi zetu,,,

-To follow Instagram:-

Visit our catalog
https://wa.me/c/255686201899 Malisa GJ Malisa Senior Yericko Nyerere Yasin Mpwawa Thadei Ole Mushi Mifuko quality printing Tanzania Biashara Tanzania

06/10/2023



-Tuna husika na :-

1) KUPAKA RANGI ZA MAJUMBA
2) UJENZI ( plaster )
3) BRANDARING NA KUFUNIKA BOARD
4) UREMBO WA MAJUMBA (mchanga na cement)
5) KUJENGA TILES
6)KUCHOMEA (madilisha na milango ya chuma)
7) KUPAUA
8) Plumbing (bomba

maelezo zaidi tunapatikana...
.....KINONDONI/DAR ES SALAAM

Au tupigie
-SIMU no. 0716 197609
0686 201899

-Email address:-
[email protected]

Kwa picha zaidi za Kazi zetu,,,

-To follow Instagram:-

Visit our catalog
https://wa.me/c/255686201899

21/06/2023

**🇹🇿🇨🇺Habari Njema🇹🇿🇨🇺**

Tunapiga hatua kwa wale ambao ni wazalishaji wa mafuta ya kula nyumbani na wanapenda kuuza nje ya Nchi, tuko hatua chache kufikia kufunga maneno.

Jambo moja nalijua hakika, licha ya hali ya mafuta nyumbani kuwa katika hali iliyopo na nikirejea kutoka kikao tulifanya na wazalishaji wiki iliyopita, wako wazalishaji wenye mafuta na wanatafuta soko na hawajalipata na hapo ndipo kazi yetu ya Diplomasia ya Uchumi, Biashara, kuyalinda, kuyatetea, kuyapigania na kuyaendeleza Maslahi Mapana ya Tanzania inapokuja.

Je unamjua mzalishaji wa mafuta ya kula anayefanya ama “single au double refinery”? Mjuze anitafute haraka, tunafunga mlango, Alhamisi tarehe 22 Juni 2023.

Mzalishaji huyo anitafute kwa WhatsApp +5359333793.

Tunatengeneza fursa hii ili wazalishaji wa mafuta wapate faida yao ya haki na kutengeneza Ajira wa watu wetu na hasa vijana ili na wao wanunue alizeti kutoka kwa wakulima wetu, soko la uhakika tumelibaini katika Ukanda wa Karibe (Caribbean).

Usikae na fursa hii, kuwa Mzalendo Mjuze mhusika Haraka.

Balozi Polepole - Mkuu wa Kituo Havana

Photos from Viwanja & Nyumba Tanzania's post 27/02/2023

VIWANJA VINAUZWA KWA BEI POA NA UNALIPA KIDOGO KIDOGO/CASH
_____________________________________
0679348277
0620598954
_____________________________________
Viwanja vipo ,,,,MVUTI
Mkoa: Dar
Wilaya: Ilala
____________________________________
Ukubwa wa kiwanja na Bei zake
√Mita 13/13 laki sita (600,000)
√Mita 14/14 laki nane(800,000)
√Mita 16/15 milioni moja(1,000,000)
√Mita 15/18 milioni moja na nusu(1,500,000)
______________________________________
Siku ya kwenda site ni kila siku isipokuwa jpili ofisi haifunguliwi.
LEGEND HOLDINGS LTD
TUPO CHANIKA KITUO BANK

Photos from Viwanja & Nyumba Tanzania's post 30/07/2022

Mzigo Mpya Umeingia Dukani

Wallpaper pc 1 - 25,000
Gundi box. 10,000
Ufundi pc 1 - 15,000

Unafikishiwa mpaka ulipo kwa gharama nafuu kabisaa

Tupigie /watsaap 0716197609 au 0686201899

Jarubuni sana..

Photos from Viwanja & Nyumba Tanzania's post 22/05/2022

SHAMBA SHAMBA LINAUZWA
LINAFAA KWA KULIMA KUFUGA (N.K)
LIPO (FIKA YOSI BAGAMOYO)

ZIPO HEKA 30 KWA BEI YA MILIONI MOJA NA LAKI SITA
KWA HEKA MOJA
UMBALI KILOMETA (3) KUTOKA MAIN
ROAD

KWA MAONGEZI ZAIDI (0686 20 18 99)

13/05/2022

MIKWAMBE PROJECT
TSHS 30,000 TU KWA MITA MOJA YA MRABA (SQUARE METER)

SIFA ZA MRADI
***Upo kilometer moja tu kutoka barabara ya lami (to Mjimwema),
***Huduma muhimu k**a maji , shule, hospitali na umeme vinapatikana karibu na mradi wetu.
***Viwanja vipo oppsite na Mradi wa nyumba za Hamidu city.
***Daladala kutokea mbagara zinapita ndani ya mradi. Eneo lipo tambarare na linafikia kipindi chote cha mvua na jua.
***Bei ni tshs 30,000 tu kwa mita moja ya mraba ambapo unaruhusiwa kulipa kidogo kidogo hadi miezi mitatu na utakapomaliza kulipa tu unakabidhiwa hati yako kutoka wizara ya ardhi..
Kwa mawasiliano zaid piga simu 0718 66 72 66

Photos from Viwanja & Nyumba Tanzania's post 13/05/2022

MRADI WA VIWANJA VILIVYOPIMWA,
.

Wakati bidhaa nyingine zikipanda bei kwa kasi inazidi kuwajali wateja wake kwa bei ya sawa na bure, Unapata kiwanja kilichopimwa kwa ajiri ya makazi na biashara pia.

Viwanja vyetu vinaanzia square mita 400 ( mita 20 kwa 20) na kuendelea.

➡️Square mita 1= 10,000 kwa malipo ya Cash. Pia
➡️square mita 1 ni 12,000 kwa malipo ya awamu ndani ya miezi 18. (installment)
➡️Square mita 1 ni 12,500 kwa malipo ya miezi 20
➡️Lipia Tsh. 250,000/= ndani ya miezi 20 upate kiwanja cha 20*20.

➡️Huduma zote za kijamii zinapatikana katika mradi wetu. .

Naomba nikukaribishe. 🙏

Fata link kwa mawasiliano zaidi.
👉 https://wa.me/message/UASECG2PUZNEM1

Ofisi zetu zipo makumbusho victoria,
No. 0657 177217. Call & whatsup

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Kinondoni
Dar Es Salaam