30/05/2022
Siku ya Leo 30/05/2022 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa amefanya Ziara katika Wilaya ya Ubungo ambapo alitembelea Stendi ya Mabasi yaendayo Mikoani ya Magufuli (MAGUFULI BUS TERMINAL) kwa ajili ya Ukaguzi wa Mradi lakini kusikiliza na Kutatua kero zote ambazo zipo Ndani ya Stendi .
Katika Ziara yake hiyo Mhe.Innocent Bashungwa alipokelewa na Viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyeji wake Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James ns aliambatana
na Mbunge wa Jimbo la Kibamba Mhe.Issa Jumanne Mtemvu , Viongozi Wa Chama Cha Mapinduzi wa Wilaya ya Ubungo akiwemo Mwenyekiti Mhe.Lucas Mgonja pamoja , Mh.Jaffar Juma Nyaigesha
Mstahiki Meya na Diwani wa Kata ya Ubungo pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo ndg.Beatrice Dominic.

30/05/2022
17/04/2022