TPATZ

TPATZ

Share

Main functions of TPA is to promote the use, development & management of Ports and their hinterlands.

The Tanzania Ports Authority (TPA) was established by the Ports Act No. 17 of 2004 as landlord port authority. It operates a system of ports serving the Tanzania hinterland and the land-linked countries of Zambia, Democratic Republic of Congo (DRC), Burundi, Rwanda, Malawi, Uganda and Zimbabwe. The Authority performs the role of landlord and operator with the main functions of promoting the use, d

14/05/2026
14/05/2026

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha kwa asilimia 100 bajeti ya mapato na matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2026/2027, hatua inayotarajiwa kuendelea kuimarisha sekta ya usafiri na usafirishaji nchini.

Bajeti hiyo iliyowasilishwa Mei 13, 2026 na Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, imeidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 2.8 kwa ajili ya matumizi ya kawaida pamoja na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Photos from TPATZ's post 13/05/2026

Taarifa kwa Umma

13/05/2026

#2026/2027

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


P. O. Box 9184 DSM
Dar Es Salaam
255