21/11/2025
Magufuli Memory
THIS PAGE IS FOR OUR BELOVED PRESIDENT MAGUFULI @2021
21/11/2025
kukosea ndio kujifunza karibu
: Aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dokta John Pombe Magufuli alivyochukua Camera na kuwa Mpiga Picha kwa Muda
God Be With You
24/09/2025
"Kwanza kabisa awe ni Mtanzania, awe na miaka 25 na kuendelea. Na asiwe na kumbukumbu makosa yoyote ya uhalifu. Asiwe amewahi kutiwa hatiani.
"Asiwe mtu anayetumia dawa za kulevya au vilevi. Awe na akili timamu. Awe na matishio ya kiusalama sio kwamba kila mtu anaibuka kwenda kununua na kumiliki silaha.
"Jeshi la polisi k**a taasisi yenye dhamana ya kumiliiisha silaha raia. Tunamilikisha silaha pale tunapoona mtu ana matishio ya kiusalama, sio kwa show off. Hizo ndizo sifa za kumfanya mtu kumiliki silaha"- Inspekta Sylvanus James Rweyemamu, Kutoka Makao Makuu Ya Jeshi Kitengo Cha Udhibiti Wa Silaha Na Risasi.
Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
