Al-Madrasat An-Nujuum

Al-Madrasat An-Nujuum

Share

Al-Madrasat An-Nujuum Tahfiidhul Qur'aan Kareem, Mwembe Mnofu, Temeke, Dar es Salaam, Tanzania. 1. MASHARTI
i. Awe Muislam
ii. iv. v. i. ii. MASOMO
i. Qur’an ii. Fiqh v.

Awe ametimiza umri wa miaka minne (4)
iii. Muda wa kuingia madrasa ni kuanzia saa 01:00 Asubuhi hadi saa 01:30 Asubuhi, Kwa mchana ni saa 08:00 mpaka saa 09:00 Alasiri. Zaidi ya hapo mwanafunzi atakua amechelewa. Muda wa kutoka Madrasa ni saa 05:00 Asubuhi kwa Asubuhi, na saa 12:00 jioni. Mwanafunzi anatakiwa kufika Madrasa wakati wowte atakapohitajika. Iwapo mtoto hatafika Madrasa na hakuna taar

15/02/2023

🧠✌️👆

26/12/2022

HII SI YA KUKOSA

16/12/2022

IMEBAKI SIKU MOJA KUELEKEA MASHINDANO YA KUSOMA NA KUHIFADHI QUR'AAN TUKUFU (TEMEKE, WAILES - DSM)

SIKU YA JUMAPILI TAREHE: 18/12/2022 KUANZIA SAA 1:00 ASUBUHI, MTAA WA NGARAMBE, WAILES
NYOTE MNAKARIBISHWA

09/12/2022

Njoo ujionee Vipaji vya Watoto wa Kiislam Jumapili Tarehe 18/12/2022, Mtaa wa Ngarambe Wailesi - Dar es Salaam

24/10/2022
24/09/2022

Jumane hii 27.09.2022

01/09/2022

ZANZIBAR KAZI KWENU

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


S. L. P 75948
Dar Es Salaam

Opening Hours

07:00 - 12:00