15/02/2023
🧠✌️👆
Al-Madrasat An-Nujuum Tahfiidhul Qur'aan Kareem, Mwembe Mnofu, Temeke, Dar es Salaam, Tanzania. 1. MASHARTI
i. Awe Muislam
ii. iv. v. i. ii. MASOMO
i. Qur’an ii. Fiqh v.
Awe ametimiza umri wa miaka minne (4)
iii. Muda wa kuingia madrasa ni kuanzia saa 01:00 Asubuhi hadi saa 01:30 Asubuhi, Kwa mchana ni saa 08:00 mpaka saa 09:00 Alasiri. Zaidi ya hapo mwanafunzi atakua amechelewa. Muda wa kutoka Madrasa ni saa 05:00 Asubuhi kwa Asubuhi, na saa 12:00 jioni. Mwanafunzi anatakiwa kufika Madrasa wakati wowte atakapohitajika. Iwapo mtoto hatafika Madrasa na hakuna taar
15/02/2023
🧠✌️👆
26/12/2022
HII SI YA KUKOSA
16/12/2022
IMEBAKI SIKU MOJA KUELEKEA MASHINDANO YA KUSOMA NA KUHIFADHI QUR'AAN TUKUFU (TEMEKE, WAILES - DSM)
SIKU YA JUMAPILI TAREHE: 18/12/2022 KUANZIA SAA 1:00 ASUBUHI, MTAA WA NGARAMBE, WAILES
NYOTE MNAKARIBISHWA
09/12/2022
Njoo ujionee Vipaji vya Watoto wa Kiislam Jumapili Tarehe 18/12/2022, Mtaa wa Ngarambe Wailesi - Dar es Salaam
24/10/2022
24/09/2022
Jumane hii 27.09.2022
01/09/2022
ZANZIBAR KAZI KWENU
| 07:00 - 12:00 |