Mfaume Social News

Mfaume Social News

Share

MUNGU KWANZA

14/07/2025

Forever

12/06/2025

Nasikia kuna viongozi wamenyoosha mikono na kuanza kuomba TFF iwasamehe na iwape muda wa kujiandaa na Derby.

Hii ni baada ya mkurugenzi wao wa Fedha kukili mbele ya CEO na njia ya simu kwa Rais wao kuwa "Ni kweli TFF hatuidai baada ya kupitia mafaili ya miamala yote"

Rais wao alipomuuliza mtunza kumbukumbu za Fedha wao kwanini alitoa taarifa za uongo kuwa wanaidai TFF? Jibu likawa "kuna kumbukumbu za baadhi ya email Tulizi Archive"

KUSHINDANA NA BABA YAKO INAHITAJI MSULI.

27/04/2025

Dar Es salaam is happy, Tanzania is happy, East and Central Africa is happy. This is Simba SC Brother.

27/04/2025

To work with Al Ahily is not a joke. See you Marcello Koller

01/04/2025

Kaka chunga sana baby wako ujue Ramadhani imeisha, Mashehe wako huru sasahivi. Usije sema sijakuambia ohoo!!

30/03/2025

Si mmesema mnataka ABAYA na sio Vijola. Haya sasa humo ndio dukani kanunueni.

24/03/2025

Ijue tofauti ya Iftal na Futali wewe. Sitaki miariko yenu bhana

09/03/2025
01/03/2025

Katika majibizano yote ya Rais wa Marekani na Ukraine, picha hii ndio kitu pekee kimenisikitisha sana. Huyu ni Bi Oksana Markarova ambae ndie balozi wa Ukraine nchini Marekani na hapa alijiinamia kwa uchungu mkubwa baada ya boss wa (Rais wa Ukraine) kuamriwa anyamaze na aache kuiambia Marekani au kuipangia Marekani nani na ni kipi cha kuhofia.

26/02/2025

All the best Diamond

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Mikocheni
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00