Chadema

Chadema

Share

Ukurasa huru wa watumiaji wa Facebook wafuasi na wapenzi wa CHADEMA. #NguvuYaUmma

29/11/2021

Taarifa kutoka Ubalozi wa Marekani kuhusu UKUTA. 23/08/2016

Taarifa kutoka Ubalozi wa Marekani kuhusu UKUTA. The U.S. Embassy in Dar es Salaam alerts U.S. citizens that opposition political leaders have called for a nationwide day of protest currently scheduled for September 1, 2016, but may continue for more than one day.

CHADEMA yatangaza kuzuia Mkutano Mkuu CCM Julai 23 – SWAHILI TIMES 22/06/2016

CHADEMA yatangaza kuzuia Mkutano Mkuu CCM Julai 23 – SWAHILI TIMES CHADEMA yatangaza kuzuia Mkutano Mkuu CCM Julai 23 Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamelitaka Jeshi la Polisi nchini kuzuia Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) unaotarajiwa kufanyika Julai 23, 2016 mkoani Dodoma. CCM inatarajia kufanya mkutano huo mwezi ujao, ukiwa na l...

08/07/2013

Taarifa: Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe alifika Ikulu Dar es Salaam wakati wa dhifa kwa Rais Baraka Obama kwa msukumo mkubwa wa Ubalozi wa Marekani nchini na kutambua kazi ambayo CHADEMA inafanya katika kuleta mabadiliko nchini. Katika dhifa hiyo Mh. Mbowe alibadilishana mawazo na maafisa wa Ikulu ya Marekani kuhusu hali ya kisiasa nchini.

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


Ufipa Street
Dar Es Salaam