Tanzania Women Football Association

Tanzania Women Football Association

Share

TWFA ni Chama cha Mpria wa Miguu kwa Wanawake Tanzania kilichosajiliwa katika Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Chini ya Sheria ya Baraza la Michezo la Taifa

Photos 04/06/2017

Thank u to all the fans. 2 my teammates. 2 everyone at and CFA. A class football club to play for. Enjoyed every bit of it and it was an experience of a lifetime.

Photos from Tanzania Women Football Association's post 18/03/2016

Kila lenye kheri Twiga Stars, matokeo ya Moira ni popote, tunaamini mnaweza sana tu, tuchapieni hao Zimbabwe .

Photos 03/09/2015

Kila la kheri timu yetu Twiga Stars huko Congo Brazzavile! tunawaamini, tunajua mnaweza

Photos 08/04/2015

Timu yetu Twiga Stars Ijumaa hii ya Aprili 10 itakuwa na kazi ya kumalizia kibarua chake dhidi ya Zambia, mechi ya kwanza tuliwapiga 4-2 kwao Lusaka, sasa ni zamu yetu nyumbani, tuungane kuishangilia timu yetu, kiingilio buku tano VIP, buku mbili kawaida, mechi hii ni ya mwisho baada ya hapo tunafuzu All African Games, Congo Brazzavile Septembe, Kauli mbiu, 'Tumefika Congo, bado ubingwa Afrika, we need your Support'

22/03/2015

Kazi ya kwanza Lusaka imekwisha, tumeshinda mechi 4-2 dhidi ya Shipolopolo, kazi ya pili itakuwa mechi ya marudiano Dar esSalaam, kila la kweli Twiga Stars, tuungane kuwasapoti wasichana wetu

22/03/2015

Timu yetu ya taifa ya soka ya wanawake Twiga Stars leo ipo Lusaka, Zambia ikimenyna na Shipolopolo uwanja wa Nkoloma, kuwania kufuzu michezo ya Afrika, mechi hii ni muhimu mno, dua zetu zote zielekee kwao tafadhali, Kila la Kheri Twiga Stars!

Photos 11/03/2015

Mabingwa wa kwanza wa michuano ya kombe la Taifa la soka kwa wanawake TEMEKE (TMK QUEEN) baada ya kukabidhiwa kombe lao ilipoifungwa Pwani bao 1-0 kwenye fainali zilizofanyika Azam Complex Chamazi mwanzoni mwa mwaka huu. Huu ni mwanzo tu, mashindano mengi ya wanawake yanakuja.

Photos 15/12/2014

Mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzanite (U-20) na ile ya Tigwa Stars (Senior) Sheridah Boniface akipokea tuzo yake ya mwanamichezo bora wa mwaka 2013/2014 kutoka kwa rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein katika hafla ya kukabidhi tuzo hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee VIP Desemba 12. Mbali na tuzo hiyo Sheridah pia alitwaa tuzo ya mwanasoka bora wa k**e, na mwanamichezo chipukizi. Tunakupongeza Sheridah na usiishie hapo, uendelee, ujaze tuzo kwenye kabati lako.

28/02/2014

Wadada wetu wa Twiga Stars leo watacheza na wadada wa Zambie, Shepolopolo, mechi ni bure uwanja wa Azam Complex, Chamazi kuanzia saa kumi jioni, sote tuungane huko tukawape moyo wachezaji wetu

25/02/2014

TIMU yetu ya taifa wa wakubwa, Twiga Stars inacheza na wenzao wa Zambia, Shepolopolo Ijumaa. Mechi hii ni ya kuwania kufuzu fainali za Afrika kwa Wanawake, tunahitaji ushindi hata wa bao 1-0 kusonga mbele, mechi itachezwa uwanja wa Azam Comlpex Chamazi, hakuna kiingilio, tunaowamba sapoti yenu Watanzania, hii ni timu yetu sote, Mungu saidia Twiga Stars!

15/02/2014

Timu yetu ya Twiga Stars imepoteza mechi na Zambia, tusikate tamaa, mapambano yanaendelea mechi ya marudiano nyumbani

04/01/2014

Heri ya mwaka mpya wadau wa soka ya wanawake, tunawatakia kila la kheri katika mwaka huu wa 2014 na Inshallah uwe wenye mafanikio kwenu,

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address


Dar Es Salaam
P.OBOX1574