01/06/2026
The wait is almost over Just 26 days until Sabasaba. Letโs make it unforgettable.
TanTrade ni chombo cha Serikali chenye Mamlaka ya Udhibiti, Utendaji na Ushauri wa Kuendeleza na K*k
01/06/2026
The wait is almost over Just 26 days until Sabasaba. Letโs make it unforgettable.
01/06/2026
31/05/2026
Where attention goes, business grows. 28 Days to SabaSaba 50.
29/05/2026
Countdown mode: 29 days to Saba Saba ๐ฆ
28/05/2026
Je Wajua ๐๐
28/05/2026
30 days left, Sabasaba bouta shut the whole city!
โDonโt miss this. Itโs bigger than ever.โ
26/05/2026
Latifa M. Hamis akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) baada ya kikao cha Baraza hilo kilichofanyika leo, tarehe 26 Mei 2026, Zanzibar.
26/05/2026
SASA TUPO UBUNGO
Ewe Mwananchi, Mfanyabiashara, Mjasiriamali na Mkazi wa Maeneo ya Ubungo, Gari letu la Matangazo ya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SabaSaba) limekufikia ulipo. Sogea karibu upate fursa ya kupata taarifa muhimu kuhusu Maonesho ya SabaSaba 2026, njoo ujifunze huduma mbalimbali zitakazokuwepo pamoja na kujishindia zawadi mbalimbali ikiwemo tiketi za kushuhudia maonesho ya Sabasaba 2026.
2026, Kubwa Kuliko #
26/05/2026
BARAZA LA WAFANYAKAZI TANTRADE LA JADILI MIKAKATI YA MAENDELEO YA BIASHARA NCHINI.
_____________________
Zanzibar
25 Mei, 2026.
Kamati Tendaji ya Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imekutana na kujadili masuala muhimu yanayolenga kuimarisha utendaji wa taasisi kikao kimeongozwa na Mwenyekiti Dkt. Latifa M. Khamis Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade. Katika kikao hicho, wajumbe walipokea na kujadili uwasilishaji wa wawakilishi wa wafanyakazi kuhusu hali ya utendaji wa taasisi, wakitoa maoni na mapendekezo ya kuboresha ufanisi katika utoaji huduma.