Tanzania Railways Corporation

Tanzania Railways Corporation

Share

Tanzania Railways Corporation(TRC) is a state corporation created with the core mandate of providing Ukurasa rasmi wa Facebook wa Shirika la Reli Tanzania.

Shirika linalotoa huduma ya Usafiri wa abiria na mizigo na kusimamia miundombinu ya Reli Tanzania.

12/05/2026

IGCRL yatua SGR

12/05/2026
11/05/2026

PORT LINK YAKAMILIKA KWA 99.7%

10/05/2026

Kukamilika kwa PORT LINK na treni ya mizigo ya SGR kufika eneo la Malindi bandarini kuna maana kubwa kiuchumi na kimkakati kwa Tanzania:

Sasa mizigo inaweza kusafirishwa moja kwa moja kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda mikoa ya ndani na nje ya Nchi.

Upakuaji na upakizaji wa makontena bandarini utakuwa wa haraka zaidi kwa sababu treni itaingia moja kwa moja ndani ya mfumo wa bandari.

07/05/2026

TRC kufanya majaribio ya treni ya mizigo ya SGR ( PORT LINK) kati ya Pugu na Malindi.

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


Railway Street
Dar Es Salaam
P.OBOX76959

Opening Hours

Monday 08:00 - 16:30
Tuesday 08:00 - 16:30
Wednesday 08:00 - 16:30
Thursday 08:00 - 16:30
Friday 08:00 - 16:30
Saturday 08:00 - 12:30