29/10/2025
MGOMBEA URAISI KUPITIA CHAMA CHA ADC HAMAD RASHID MOHAMED AKIWA KATIKA ZOEZI LA KUPIGA KURA SHULE YA SEKONDARI FIDEL CASTRO PEMBA
Dira ya Mabadiliko
29/10/2025
MGOMBEA URAISI KUPITIA CHAMA CHA ADC HAMAD RASHID MOHAMED AKIWA KATIKA ZOEZI LA KUPIGA KURA SHULE YA SEKONDARI FIDEL CASTRO PEMBA
06/10/2025
MGOMBEA URAISI kupitia Chama Cha ADC Hamad Rashid Mohamed akizungumza na wanawake, vijana na wazee KATIKA Jimbo la BUBUBU, Mtaa wa Kijichi magengeni
06/10/2025
MGOMBEA URAISI kupitia Chama Cha ADC Hamad Rashid Mohamed akizungumza na watu wenye ulemavu akiwa KATIKA ofisi za chama zilizopo kisiwa Cha Unguja
06/10/2025
MGOMBEA URAISI kupitia Chama Cha ADC Hamad Rashid Mohamed akizungumza na wanawake, vijana na wazee KATIKA Jimbo la kojani mkoa wa kaskazini Pemba
30/09/2025
Mgombea urais kupitia chama cha ADC, Nd. Hamad Mohamed Rashid, alipata fursa ya kumtembelea na kujumuika na mke wa marehemu Abbas Ali Hassan Mwinyi. Ziara hii imelenga kuendeleza mshikamano wa kifamilia, heshima na mshikamano wa kijamii.
MGOMBEA URAISI KUPITIA ADC AAHIDI KUBORESHA KILIMO KATIKA UONGOZI WAKE
24/09/2025
https://youtu.be/9D5HpPo93co
🔴LIVE: MKUTANO WA MGOMBEA URAIS ADC. NA WAANDISHI WA HABARI UNGUJA ZANZIBAR.
19/09/2025
Mheshimiwa Hamad Rashid Mohamed mgombea kiti Cha Rais wa SMZ kupitia chama Cha ADC - Dira ya Mabadiliko 2025 - 2030
Mwenyekiti Taifa wa ADC Mhe. Shabani Haji Itutu akizungumza katika mafunzo kuhusu Sheria ya Gharama za Uchaguzi kwa Viongozi wa kitaifa wa Vyama vya Siasa leo katika Ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam.
Vipaumbele vyetu Wana ADC;
1. Elimu Bure kutoa chekechea hadi chuo kikuu ikiambatana na kufuta madeni ya wahitimu wa vyuo vikuu wanayokatwa kutokana na mikopo ya elimu ya juu kwani Taifa linategemea taaluma zao katika kujenga nchi.
2. Afya bure
3. Kuunganisha umeme na maji Bure n.k
4. Child support grants (Fao la familia)
Mgombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Wilson Elias Mulumbe na Makamu wa Rais Mhe. Shoka Khamis Juma kupitia chama chetu cha ADC amechukua fomu ya kuomba ridhaa hiyo leo ofisi za Makao Makuu ya Tume INEC Njedengwa jijini Dodoma.
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |