20/07/2025
New look
Ukurasa huu ni wachama cha ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT – WAZALENDO). Jimbo la Temeke na Mbagala.
20/07/2025
New look
Zoezi la uandikishaji linaendeleaje kwenye mtaa na kijiji chako?
06/05/2022
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Juma Duni Haji, akiambatana na Katibu Mkuu Ndugu Ado Shaibu na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya kuzindua Ofisi ya Jimbo na kufanya Kikao na viongozi na Wanachama.
Bei ya Mafuta imepanda mno, na Serikali nyingi duniani zinapambana kuwalinda Wananchi wake, hapa kwetu Serikali ya CCM imemwachia Mwananchi kubeba mzigo wote wa.
imetoa suluhisho la namna ya kuwalinda wananchi dhidi ya bei kubwa ya mafuta, TAZAMA
06/05/2022
💠 Tume Huru, Katiba Mpya.
Operesheni Tume Huru kuelekea Katiba Mpya yenye maoni ya Wananchi. Ni kesho, Ukumbi wa Aspen Hotel Mwanza 🔥🔥🔥
05/05/2022
💠 ACT Day!!🔥🔥🔥
Mbali na Operesheni Tume Huru kuelekea Katiba Mpya, Mwanza inashuhudia shughuli nyingine ya ACT Wazalendo leo tar. 05/05/2022. Nayo ni Kuzaliwa kwa Chama. Tunasherehekea Miaka 8 ya uwepo wetu.
Tumekuwa Sauti Mbadala!
05/05/2022
https://www.jembenijembe.com/
Msikilize Katibu Mkuu wa Ado Shaibu Live muda huu Jembe FM Mwanza 🔥 🔥 🔥 🔥
Jembe FM | Jembe Ni Jembe Jembe,jembe habari,jembe fm habari,jembe news,jembe ni jembe habari,habari, yaliojili leo, taarifa ya habari,redio jembe ni jembe,radio jembefm,sikiliza jembe fm online jembe fm 93.7, jembefm mwanza, mwanza 93.7,jembe ni jembe mwanza, jembe media,jembe taarifa, jembe michezo, habari za kitaifa na ki...
05/05/2022
Miaka 8 Toka Kuanzishwa ACT Wazalendo
05/05/2022
Kitaifa inafanyika Jijini Mwanza na viongozi wa chama watafanya media Tour Mwanza.
Kiongozi wa chama Ndugu, Zitto Zuberi Kabwe atakuwa Star TV kuanzia Saa 3:00 Usiku kwenye kipindi cha The Big Agenda.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara, Dorothy Semu atakuwa RFA Radio Station kuanzia saa 10:00 Jioni kwenye kipindi cha Mambo Mambo.
Katibu Mkuu wa chama, Ado Shaibu Ado atakuwa JEMBE FM Radio kuanzia Saa 2:00 Asubuhi kwenye kipindi cha MchakaMchaka
Katibu wa Ngome ya Vijana Taifa Ndugu, Mwanaisha Mndeme atakuwa Metro FM Radio kuanzia saa 11:00 Jioni kwenye kipindi cha Evening Drive.
Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO Taifa Ndugu Juma Duni Haji anawatika Waumini na Wananchi wote Eid Mubarak.
16/04/2022
Usajili unaendelea... Kata ya Toangoma, Mbagala Dar es salaam
🔥 🔥 🔥
Ingia hapa 👇
https://t.co/xL5eFZj8RL
Pakua kisha Jisajili. Ni rahisi, ya kijanja na yenye kuvutia.
16/04/2022
Katibu Mkuu wa Chama Ndugu Ado Shaibu ameshiriki hafla ya kugawa kadi mpya za Wanachama za Kielektroniki kwa Wanachama wa Kata ya Tuangoma Jimbo la Mbagala.