28/10/2025
Muhimbili Taifa
Karibu kwenye ukurasa rasmi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
28/10/2025
Je, unafahamu kuwa Afya yako inaanza na uchunguzi wa mapema. Tembelea kliniki yetu maalum ya uchunguzi wa matiti iliyopo Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi wa awali na ushauri wa kitalaam.
14/10/2025
Kumbukizi ya Miaka 26 ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
“MNH Tutaendelea Kuuenzi Mchango Wako Katika Kuboresha Afya za Watanzania.”
MUHIMBILI YABISHA HODI ANJOUAN KUJENGA UWEZO NA KUTOA HUDUMA ZA KIBOBEZI
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) inatarajia kupeleka timu ya madaktari bingwa na mabingwa bobezi katika mji wa Anjouan, nchini Comoro kwa ajili ya kambi maalum ya matibabu itakayofanyika kuanzia Oktoba 5 hadi 12, 2025 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alilolitoa wakati wa ziara yake visiwani humo.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salam
