TIMU YA TAIFA YA KRIKETI WANAWAKE KUWEKA KAMBI HONG KONG CHINA KUJIANDAA NA MASHINDANO YA KUFUZU KOMBE LA DUNIA MWEZI DISEMBA
National Sports Council of Tanzania
Official page of The National Sports Council of Tanzania which was enacted by the Act of the Parliament of the United Republic of Tanzania
FUNCTIONS OF THE NATIONAL SPORTS COUNCIL OF TANZANIA
The National Sports Council of Tanzania was enacted by the Act of the Parliament of the United Republic of Tanzania No: 12 of 1967 and its amendments Act No: 6 of 1971. The act gives the council a supreme power to supervise all kind of sports in the country both professional and amateur. In summary, the National Council of Tanzania does the foll
09/11/2023
Vyama na Mashirikisho watakiwa kuhakiki taarifa zao
Waandaaji wa mbio watakiwa kushirikisha Watu wenye mahitaji maalum.
04/11/2023
Msimu wa Tano wa Mashindano ya Riadha ya Wanawake Novemba 24 - 26, 2023 Jijini Dar es salaam.
Mwanamke Afya Marathon(MAM MARATHON)
Msimu wa tano mashindano ya riadha Wanawake(Ladies First)
01/11/2023
Katibu Mkuu Msigwa ateta na Mabondia
Katibu mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo, Gerson Msigwa mapema asubuhi ya Novemba Mosi amekutana mabondia walioshinda mapambano yao ya mikanda ya ubingwa wa Baraza la Ngumi Duniani, WBC na ubingwa wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini TPBRC katika ofisi za Baraza la Michezo BMT.
Mabondia hao ambao ni Fadhili Majiha aliyeshinda mkanda wa Ubingwa wa WBC Afrika alioshinda kwa kumshinda Bongani Mahlangu wa Afrika Kusini wakati Pius Mpenda akishinda mkanda wa WBC Peace nchini Uturuki kwa kumchapa Dauren Yeleussino wa Kazakhstan huku Ibrahim Class akishinda ubingwa wa Taifa wa TPBRC dhidi ya Xiao Tau Su wa China.
Msigwa amewataka mabondia hao kuhakikisha wanaweza kujitunza ili waendelee kufanya vizuri katika mapambano yao wanayocheza kimataifa huku akitoa ahadi ya serikali chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwaunga mkono kwenye mchezo huo.
01/11/2023
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa akipokea taarifa fupi ya BMT kutoka kwa Katibu Mtendaji Bi. Neema Msitha leo Novemba 01, 2023 wakati alipokutana na Menejimenti ya Baraza hilo akiwa katika ziara yake ya kwanza katika taasisi hiyo baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa awamu sita Dkt. Samia Suluhu kuongoza Wizara hiyo.
01/11/2023
Katibu Mkuu Gerson Msigwa Novemba Mosi, 2023 akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) wakati wa ziara yake kikazi katika Taasisi hiyo inayosimamia michezo siku chache baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuongoza Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa, leo tarehe 1 Novemba, 2023 Uwanja wa Benjamin Mkapa, amewapongeza mabondia Pius Mpenda aliyeshinda mkanda wa WBC Peace, Fadhil Majiha aliyeshinda mkanda wa WBC Africa na Ibrahim Class aliyeshinda mkanda wa TPBRC katika mapambano yao waliyocheza tarehe 28 na 29 Oktoba, 2023.
TAFF wapokea vifaa vya michezo kutoka K4S
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Contact the business
Website
Address
MKAPA STADIUM, 2nd Floor, TAIFA Road, DAR-ES-SALAAM
Dar Es Salam
MKAPANATIONALSTADIUM
Opening Hours
| Monday | 07:30 - 15:00 |
| Tuesday | 07:30 - 15:30 |
| Wednesday | 07:30 - 15:30 |
| Thursday | 07:30 - 03:00 |
| Friday | 07:30 - 15:30 |
| Sunday | 07:30 - 15:30 |

09/11/2023