Agri-Link Tanzania

Agri-Link Tanzania

Share

The vision is reduced poverty and improved livelihoods as a result of lively, broad‐based, success

The objective for which “ALT” is established is to contribute on poverty alleviation as well as national economy through mobilizing pyrethrum, sunflower and sesame business in the course of adopting the recommended technologies as well as lobbying with the Government and other Partners for creating friendly environment. ALT intend to bring together and represent stakeholders from specific selected

02/03/2025

Leo tunamalizia mjadala wetu wa 6 kuhusu kilimo , maji na umwagiliaji
Karibu ungana nasi kuanzia saa 10 jioni ya leo kupitia 👇

LIVE🔴Umwagiliaji wa Kisasa Unawezekana! (Sehemu ya 06)
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
SAGCOT Centre LTD Chanel
youtube.com/live/ariPWo4wL…

AgriBusiness East Africa Chanel
youtube.com/live/XZyY-oAxL…

Club House
clubhouse.com/invite/1djuvRB…

15/08/2024

Ni wakati mwingine tena napenda kuwakaribisha JOBIC Trading Company Limited kwa huduma zifuatazo:

1. Usafi kwa ujumla
Usafi wa majengo na mazingira yaani usafi wa majengo ni shughuli zote za usafi wa nyumba,vioo,sofa,tiles,choo n.k na usafi wa mazingira kufyeka,kulima kukata michongoma n.k

2. Hama na JOBIC:
Kwanini upate stress wakati wa kuhama? Team yangu ipo kukuhamisha KIFALME kwa gharama nafuu mno na kwa uaminifu mkubwa.
Huduma utakayopata ni pamoja na
•usafi wa ndani na nje nyumba utakayohamia
• upulizaji wa dawa ya kuuwa wadudu waharibifu kwenye nyumba utakayo hamia
• kufungua na kufunga kitanda,tv,dish,makabati n.k
•kupakia na kushusha mizigo yote
• usafiri juu yetu
toa oda siku 3 za kazi

3. Fumigation (pest control)
Ni huduma ya upulizaji wa dawa kuangamiza wadudu waharibifu waletao magonjwa ya mlipuko kwenye mazingira yetu.
Gharama zetu ni nafuu mno kila mtu anaweza kuafford.

Karibuni sana
Ghorofa ya shani cinema, floor 2,chumba namba 207
📞0759882507
Brigitha Mbiki
Mkurugenzi JOBIC TRADING CO. LTD 🙏

12/05/2023
Photos from Agri-Link Tanzania's post 16/09/2022

Kazi imepamba Moto Kazi Iendelee

Photos from Agri-Link Tanzania's post 21/09/2020

Wafugaji wa Vikundi vya Ngozi vya Mileproma na Dosidosi Mkoani Manyara kwa furaha katika picha ya Pamoja baada ya kuhudhuria Mafunzo ya ya Ujasiliamali, Uendeshaji na Usimamizi wa Biashara. MRADI HUU WA MNYORORO WA THAMANI WA NGOZI UMEFADHIRIWA NA GIZ NA EAC KUPITIA PROGRAM YA IIDEA.

14/09/2020

With The Great Support of GIZ, Agri Link Tanzania has managed to support the Leather Value Chain in Manyara Region. Lets share the Program output from this Video.

Thank you GIZ for your Great Support to Agri Link Tanzania.

Photos from Agri-Link Tanzania's post 15/07/2020

Awareness and Capacity Building of the Livestock Stakeholders in Simanjiro and Kiteto districts.

Want your business to be the top-listed Government Service in Dar es Salam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


Arusha Branch/P. O. Box 3013
Dar Es Salam
P.O.BOX1156