Mzee wa Jambia

Mzee wa Jambia

Share

The Master

23/11/2023

Uto

22/11/2023

๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ

21/11/2023

Pengine yatabaki kuwa maoni yangu binafsi tu ila kwa MWENENDO WA SIMBA HIVI SASA ni wazi viongozi husika hawatilii maanani maoni ya Mashabiki wao.

Ni maoni yangu binafsi ila Fans need essentials, mashabiki wanamtaka kocha mkuu, kocha wa viungo na timu imejipanga vipi kuelekea mchezo ujao.

My Opinion, THEY PROVE POLITICS!

21/11/2023

โ€œMkutano wa leo unahusisha mashabiki wa Simba maarufu, wenye mvuto kwa mashabiki wenzao. Wapo wengi lakini tumechagua wacheche. Kubwa ni kuhusu mchezo wa tarehe 25 dhidi ya Asec Mimosas.โ€

โ€œMchezo huu unahitaji zaidi mashabiki kuja uwanjani, tunataka kuendeleza utamaduni wa kujaza uwanja. Tumewachukua mashabiki waje kuwambia mashabiki wenzao kuja uwanjani. Hivi karibuni tumepata tuzo ya mashabiki bora Afrika k**a klabu tunataka kuwashukuru kwa kazi kubwa.โ€- Ahmed Ally.

21/11/2023

๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ
Kocha wa Viungo wa Simba Akiwa kwenye majukumu ya kila siku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Follow ๐Ÿ‘‰

21/11/2023

kula chuma hichooo ukisikiaaa Paah mwamba yuleee Uarabuniii

20/11/2023

Mwanasimba siku chache zimebaki kabla ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Nunua tiketi yako sasa.

21/06/2023

๐ŸŸ๏ธMICHEZO__Klabu ya Azam FC๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ imemuongeza mkataba nahodha wao Sospeter Bajana mpaka mwaka 2026.

๐ŸŸ๏ธ''Mkata umeme halisi na nahodha wetu Sospeter bajana, bado ataendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026.''




Want your business to be the top-listed Government Service in Dodoma?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address


S. L. P 236
Dodoma
199807