YUSUF MAKAMBA:
Rais Kikwete ni binadamu tusitazame dosari zake k**a mwanadamu, tazama mkataba wake na CCM.
Umoja wa Wanawake (uwt-Ccm) Mwanza
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Umoja wa Wanawake (uwt-Ccm) Mwanza, Political organisation, Dodoma.
13/11/2012
An architect’s impression of the new CCM national headquarters and convention centre to be constructed at Makulu in Dodoma.
Matokeo ya chaguzi za nafasi 10 za wajumbe wa NEC Tanzania Bara wa Chama cha Mapinduzi zinazoendela Dodoma yametoka ni k**a ifuatavyo:
1. Stephen Wassira - 2,135
2. January Makamba – 2,093
3. Mwigulu Nchemba – 1,967
4. Martine Shigela – 1,824
5. William Lukuvi – 1,805
6. Bernard Membe – 1,455
7. Mathayo David Mathayo – 1,414
8. Jackson Msome - 1,207
9. Wilson Muk**a - 1,174
10. Fenela Mukangara - 984
Source: Makongoro Nyerere kupitia Mjengwa Blog
07/11/2012
UWT Mwanza ilishtushwa pia kuwa na masikitiko makubwa ilipopata taarifa za kifo cha askofu jimbo katoliki la Shinyanga ALOYSIUS BALINA, kwa mujibu wa taarifa kifo hicho kilichotokea jana siku ya jumanne (November 6th, 2012) majira ya saa tano za asubuhi katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando mkoani Mwanza.
Umoja wa wanawake wa mkoa wa Mwanza unatoa pole kwa waumini na watu kwa kumpoteza askofu, panapo majaaliwa tutatuma wawakilishi katika shughuli zote za kumpumzisha askofu Aloysius Balina.
RAHA YA MILELE UMPE EEH BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE EEH BWANA, APUMZIKE KWA AMANI – AMINA “INNALILLAHI WAINAH ILAHI RAJIUN” !
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dodoma
