National Bureau of Statistics Tanzania

National Bureau of Statistics Tanzania

Share

The National Bureau of Statistics (NBS) has been established as an autonomous public office by the Statistics Act, 2015 and has the mandate to provide offi

Photos from National Bureau of Statistics Tanzania's post 17/10/2025
Photos from National Bureau of Statistics Tanzania's post 12/08/2025

Wadau mbalimbali wakipata elimu kuhusu takwimu mbalimbali zinazozalishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu kutoka kwa Ofisa wa NBS katika banda kwenye Maonesho ya Asasi za Kiraia Viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini, Dodoma. Maonesho haya ni sehemu ya Mkutano wa Asasi za Kiraia wa kutathmini mchango wa taasisi hizo kwenye maendeleo. NBS imeendelea kutumia fursa hizi kujitangaza na kusambaza machapisho na takwimu mbalimbali.

08/08/2025
Photos from National Bureau of Statistics Tanzania's post 08/08/2025

Leo ikiwa ni kilele cha maonesho ya sikukuu ya wakulima, wafugaji na wavuvi maarufu k**a Nanenane, Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS imeendelea kutoa elimu kwa makundi mbalimbali juu ya umuhimu wa kutumia tafiti sahihi katika sekta ya kilimo

Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS, ipo katika maonesho ya Nanenane kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.

Photos from National Bureau of Statistics Tanzania's post 07/08/2025

Afisa Mtendaji mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Prof. William Pallangyo ametembelea banda la Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS, kwenye maonesho ya Nanenane yanayofanyika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma.

Akiwa katika banda Prof. Pallangyo amewataka wananchi kujitokeza kutembelea banda hilo ili wapate elimu ya tafiti mbalimbali za mapato na matumizi ya kaya binafsi pamoja na tafiti za watu wenye uwezo wa kufanya kazi zinazofanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu.

07/08/2025

Baadhi ya wananchi wameendelea kutembelea Banda la Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS katika maonesho ya Nanenane viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma na kupata elimu ya umuhimu wa kutumia takwimu kwenye Kilimo, Ufugaji na Uvuvi.

Photos from National Bureau of Statistics Tanzania's post 07/08/2025

Watakwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, NBS na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar wakiwa kwenye kikao kazi na Waangalizi kutoka Tume ya Kimataifa ya Uchumi wa Afrika (UNECA) Takwimu House,jijini Dodoma.

Waangalizi hao watakuwa kwenye tathimini ya Utekelezaji wa Mpango wa Kitaifa awamu ya Pili wa Kuboresha na Kuimarisha Takwimu Nchini (TSMP II ).

Mpango huu ni wa Serikali na utekelezaji wake unafanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu chini ya usimamizi wa Wizara za Fedha

Photos from National Bureau of Statistics Tanzania's post 06/08/2025

Wananchi mbalimbali wanaendelea kufika katika Banda la Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS, kwenye maonesho ya Nanenane na kupewa elimu, kuhusu umuhimu wa matumizi ya takwimu katika sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Photos from National Bureau of Statistics Tanzania's post 06/08/2025

Karibu katika Banda la Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS, katika maonesho ya Nanenane viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, kufahamu maswala mbalimbali ya wakulima, wafugaji na wavuvi kwa mujibu wa takwimu sahihi.

Photos from National Bureau of Statistics Tanzania's post 05/08/2025

Wadau na Wateja wa huduma zinazotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu wakipata maelezo ya kina kuhusu huduma hizo kutoka kwa Maofisa wa NBS katika banda la Ofisi lililopo kwenye Viwanja vya NaneNane vilivyopo Nzuguni jijini Dodoma. NBS inaendelea kutoa elimu kwa umma na wadau mbalimbali kuhusu umuhimu wa matumizi ya takwimu katika kupanga na kufanya maamuzi

Want your business to be the top-listed Government Service in Dodoma?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


Jakaya Kikwete Road, P. O. Box 2683
Dodoma

Opening Hours

Monday 08:00 - 15:00
Tuesday 08:00 - 15:00
Wednesday 08:00 - 15:00
Thursday 08:00 - 15:00
Friday 08:00 - 15:00
Saturday 00:00 - 23:00
Sunday 00:00 - 23:00