06/05/2026
Menejimenti ya ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji imekutana na Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa na kuwasilisha taarifa ya utelekezaji wa shughuli za TASAF, pamoja na maandalizi ya Awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini.
01/05/2026
inawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.
26/04/2026
Tunawatakia watanzania wote kumbukizi njema ya siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
22/04/2026
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii tunashiriki kwenye mkutano mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) unaofanyika jijini Arusha kwa siku mbili.
19/04/2026
Ujenzi wa miundombinu ya shule kupitia Uendeleaji Miundombinu katika Shule ya Sekondari ya Igogwe Manispaa ya Ilemela, Mwanza uliofadhiliwa na kupitia , umeboresha mazingira ya kujifunza na kuongeza mahudhurio kwa wanafunzi shuleni.
08/04/2026
.Tanzania has an opening for;
i. Monitoring, Evaluation & Learning Officer (1 Post)
ii. Procurement Officer (1 Post)
iii. Motor Vehicle Mechanic (1 Post)
To apply, interested candidates should visit our website www.tasaf.go.tz
Application Deadline: 7 May 2026
07/04/2026
Tunapoadhimisha kumbukumbu ya siku ya Hayati Abeid Amani Karume, tunajikumbusha na kuenzi uongozi wake ulioacha alama katika kuleta umoja na maendeleo kwa wote.
05/04/2026
Tunawatakia Watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Pasaka
03/04/2026
Tunawatakia Watanzania wote Ijumaa Kuu njema.
28/03/2026
Katika muendelezo wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani , wiki hii, Meneja Rasilimali Watu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Bi. Mariam Al-jabiri akiwa ameambatana na baadhi ya watumishi, walikabidhi msaada wa kuwalipia matibabu pamoja na vifaa tiba kwa wagonjwa wanaopatiwa huduma katika Taasisi ya Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam.