08/12/2021
Matokeo ya Usaili wa Mahojiano tarehe 8-12-2021
Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa ina maeneo ya vivutio vya utalii k**a michoro ya mapangoni eneo la Kondoa Irangi.
08/12/2021
Matokeo ya Usaili wa Mahojiano tarehe 8-12-2021
07/12/2021
Matokeo ya mtihani wa mchujo na kuitwa kwenye usaili wa mahojiano kesho tarehe 8-12-2021
Usaili wa mahojiano utafanyika ukumbi wa Kondoa Irangi
Musa kuandaa saa 2:00 Asubuhi
02/12/2021
Tangazo la kuitwa kwenye usaili
02/12/2021
Baadhi ya Watumishi walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wiki ya sherehe zamiaka 60 ya uhuru wa Tanganyika
02/12/2021
Uzinduzi wa Sherehe za Uhuru na Ujenzi awamu ya pili Mji wa serikali.
Eneo la viwanja vya Mtumba Dodoma
Matukio katika picha eneo la uzinduzi
28/11/2021
Mgeni Rasmi Dkt.Ashatu Kijaji siku ya Takwimu Afrika 2021 akizungumza...
28/11/2021
Siku ya Takwimu ya Afrika 2021-Viwanja vya Pahi H/Wilaya ya Kondo
06/07/2021
Tangazo kwa watumishi wapya wanaoripoti Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa anawakaribisha watumishi wapya waliopangiwa kufanya kazi katika Halmashauri hii.
Ili kuepuka usumbufu wa kufika Ofisi zilipo au kwa changamoto zozote,tafadhali rejea mawasiliano katika tangazi hapa chini
23/04/2021
Kikao Kazi TASAF Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu Wilaya ya Kondoa
Mgeni Rasmi Mhe. Sezaria Veneranda Makota Mkuu wa Wilaya ya Kondoa
Hotuba ya Mgeni Rasmi
=Malengo ya TASAF III awamu ya pili ni pamoja na
1.kuwawezesha kaya kufanya kazi na hivyo kuongeza kipato,
2.kuwawezesha kuongeza rasilimali zalishi na kuongeza vitega uchumi,
3.kuwekeza kaika rasilimali watu ili kuleta matokea ya kudumu,
4. upatikanaji wa huduma za afya,maji na elimu
5. kukuza uchumi kaika maeneo ya walengwa kupitia vikundi vya miradi.
>
19/01/2020
KIKAO CHA LISHE LEO TAR 19 JAN,2020 KIKIENDELEA...
Kikao cha lishe kikijumuisha Wadau wa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa na Shirika la Deloitte linalojihusisha na lishe endelevu kikiendelea katika ukumbi wa Biashara uliopo Halmashauri ya Mji wa Kondoa.
09/01/2020
MATOKEO KIDATO CHA NNE YATANGAZWA RASMI
BOFYA👇
Announcement | Kondoa District Council View single announcement
22/11/2019
Kikao cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa kilichofanyika tarehe 21/11/2019 Bukulu Makao Makuu ya Halmashauri.
Matukio katika picha...