23/06/2023
🚨🚨
Moses Phiri 🇿🇲 anahusishwa kujiunga na Tp Mazembe 🇨🇩, Mazembe imewasilisha barua ya ofa kwa mchezaji huyo kabla ya kukutana na Simba SC 🇹🇿.
Mpango wa kubadilishana unaweza kufanyika na Baleke 🇨🇩
10/06/2023
LEO, usipitwe kufatilia mbashara parade ya Wananchi Yanga SC wakisherehekea ubingwa wao 29.
Kupitia AzamSports3HD, kuanzia Saa 3:00 Asubuhi.
09/06/2023
NBC Premier League msimu wa 2022/2023 unafikia tamati leo Ijumaa.
Mechi zote nane mbashara kupitia
Ni Mayele ama Ntibanzokiza nani kuibuka mfugaji bora?
Kwa kifurushi cha Shilingi 23,000 unatazama michezo hii.
07/06/2023
Kombe 🏆 rasmi la NBC Premier League.
04/06/2023
"Tumepambana kadri ya uwezo wetu kutimiza ndoto, lakini hatukufanikiwa. Tutarudi tukiwa imara zaidi,"
Djigui Diarra
-Golikipa bora wa fainali ya CAFCC 2023