UVCCM Karagwe, Kagera

UVCCM Karagwe, Kagera

Share

Political platform

07/06/2022

Karibuni MAMA Karagwe tunakupenda
UVCCM wilaya ya karagwe chini ya mwenyekiti Ndg. Alexius Sylivester inamkaribisha mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM taifa kwenye ziara yake Mkoani Kagera.
UVCCM UVCCM (TANZANIA)UVCCM (TANZANIA)UVCCM (TANZANIA)






26/04/2022

Kheri ya sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964-2022.
IMARA INAANZA NA MIMI SHIRIKI UCHAGUZI KIKAMILIFU



17/04/2022

UVCCM-Karagwe inawatakia kheri ya sikukuu ya pasaka wanajumuiya ya uvccm_karagwe na watanzania wote




07/04/2022

Kheri ya kumbukizi ya kifo cha Sheikh Abeid Amani Karume 4 August 1905- 7 April 1972 UVCCM UVCCM (TANZANIA)UVCCM (TANZANIA)UVCCM (TANZANIA)

Photos from UVCCM Karagwe, Kagera's post 03/04/2022

Ni Kipindi cha Toba na kumrudia Mwenyezi Mungu kwa Maana ndiye asitahiliye
Muwe na mfungo mwema wa Ramadhan waislam wote duniani kote🙏🕌





Photos from UVCCM Karagwe, Kagera's post 06/03/2022

Mfungo mwema Ndg.Wakristo Duniani Kote
tudumishe amani upendo na mshikamano.
Kidumu chama cha mapinduzi
mama vijana tupo

21/01/2022

Twende Tukakidumishe chama cha mapinduzi
Maadhimisho ya miaka 45 ya ccm wikaya ya karagwe rasmi yamefungukiwa leo 21 january 2022 Kata kamagambo kijiji Kafunjo

Photos from UVCCM Karagwe, Kagera's post 21/01/2022

Salam za pongezi kwa Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kuteuliwa na kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wa chama Mh. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa kiti cha spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania👍

Photos from UVCCM Karagwe, Kagera's post 14/01/2022

MAADHIMISHO YA MIAKA 45 YA CCM WILAYANI KARAGWE YANAYOTARAJIA KUFANYIKA KATA YA KAMAGAMBO.
MGENI Raami Ndg. Christopher Pallangyo Katibu CCM MKOA WA KAGERA
IG: UVCCM Karagwe_Kagera

Photos from UVCCM Karagwe, Kagera's post 08/01/2022

UVCM Karagwe_Kagera
Tunachukua nafasi hii.kukupongeza Mh. Innocent Bashungwa Mbunnge wa Wilaya ya Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kwa kuaminiwa na Mh. Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia S Hassan na kukuteua kuwa waziri wa ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.
(TAMISEMI)

Photos from UVCCM Karagwe, Kagera's post 05/01/2022

karibu kulike kushare na kukomenti kwwnye page yetu ya UVCCM Karagwe


Want your business to be the top-listed Government Service in Kayanga?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


Karagwe
Kayanga