Ofisi Ya Mkuu Wa Mkoa Morogoro
Ukurasa wetu unaelezea taarifa mbalimbali zinazohusu Mkoa wa Morogoro Mkoa wa Morogoro ni Mkoa wa pili kwa ukubwa nchini ukitanguliwa na Mkoa wa Tabora.
Mkoa una eneo la kilometa za mraba 73,039. Eneo hili ni sawa na asilimia 7.7 ya eneo lote la Tanzania Bara, kati ya eneo hili Km2 2,240 ni eneo la maji. Mkoa umepakana na Mikoa ya Pwani na Lindi kwa upande wa Mashariki, Manyara na Tanga upande wa Kaskazini na kwa upande wa Magharibi umepakana na Mikoa ya Dodoma na Iringa. Upande wa Kusini unapakana na Mkoa wa Ruvuma. Hali ya Hewa
Mkoa hupata mvua
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
P. O BOX 650
Morogoro
Opening Hours
| Monday | 07:45 - 15:30 |
| Tuesday | 07:45 - 15:30 |
| Wednesday | 07:45 - 15:30 |
| Thursday | 07:45 - 15:30 |
| Friday | 07:45 - 15:30 |
