Morogoro Region

Morogoro Region

Share

Ukurasa huu ni kwaajiri ya watu wanaotokea Morogor na Wale wenye Mapenzi mema na Mkoa wa Morogoro, Karibu sana ili tuweze kufahamiana na kutambuana.

19/04/2024

Uongozi wa Moro Family unapenda kuwakaribisha katika mkutano mkuu wa mwaka 2024 utakaofanyika KIMARA TEMBONI kwa wakazi wa Dar Es Salaam, Morogoro na Pwani mnaweza kufika kwa urahisi karibuni sana.

Mawasiliano zaidi 0756098132

AMANI NA MSHIKAMANO KWA WOTE.

10/04/2024

Asante kwa kuwa mshiriki bora na kufanikiwa kuingia kwenye orodha ya ushiriki wa kila wiki! Jj Dagamario Jr., Mwajuma M***a, Hadija Abdul, Edo Bill EID MUBARAK kwenu nyote.

02/04/2024

Tunatarajia kufungua group la WhatsApp la mkoa wa Morogoro ( Morogoro Region ) kwa aliye tayari aseme nipo tayari tukupe link ya kujiunga.

06/03/2024

Wow!! Tunafuraha kuwakaribisha humu ndani ndugu Asha Hassani, Chriss Tz, Vicent Salum karibuni sana.

Photos from Morogoro Region's post 15/02/2024

Hali zenu nyote!!
Kipindi hiki cha kukatika katika kwa umeme na wakati mwingine LUKU kuisha nyakati mbaya au usiku wa manane.

Tunawaletea taa za njia mbili yaani itatumika pindi umeme upo na ukiisha au kukatika itaendelea kuwaka (two ways rechargable bulb)

Zinazotumia betri bei ya jumla Tshs. 15,000/= rejareja ni Tshs. 18,000/=
Za moja kwa moja (hazitumii betri) rejareja Tshs. 13,000/= jumla ni Tshs. 10,000/=

Jumla ni kuanzia PC 5.

📱+255625424924
+255768941177

Karibu sana tutakufikishia mzigo kwa wakati na kwa uaminifu mkubwa.

NB:
- wateja wetu gharama za usafirishaji ni juu ya mteja.

Malipo ya bidhaa ni pindi tu unaweka oda yako.

Asanteni sana

07/02/2024

Ulishawahi kufika BWAKILA JUU?

K**a bado, jiandae kuna jambo letu.

Photos from Morogoro Region's post 10/06/2022

Siku zinazidi kuyoyoma wapendwa wetu.
Wahi kujisajili mapemaaaa ili kushiriki safari ya Mikumi siku ya Saba Saba.

📍Moro - Mikumi - Moro
Mtanzania Tshs. 45,000/=
Mtoto chini ya miaka 12 Tshs. 25,000/=
Asiye Mtanzania $50

Njoo WhatsApp kusajiliwa +255782951177

MOROGORO YETU, NYUMBANI KWANZA



Photos from Morogoro Region's post 01/06/2022

Twenzetu Mikumi 07-07-2022
Safari itaanzia Msamvu Sheri saa moja na nusu asubuhi.

Gharama:
📍Moro - Mikumi - Moro
Mtanzania Tshs. 45,000/=
Mgeni $ 85

Mwisho wa kujisajili 03-07-2022

Mawasiliano:
What'sapp +255782951177
Sms/call +255625424924
[email protected]

Nyote mnakaribishwa.

Photos from Morogoro Region's post 28/05/2022

MIKUMI DAY TRIP
```07-07-2022 - Saba Saba Special```

Tanzania Natural Experiences
inakuletea trip ya utalii kwenda hifadhi ya Mikumi.

💰GHARAMA
📍Dar ➖ Mikumi ➖ Dar
👤 Tanzanian 85,000/=
👤NON CITIZEN 180,000/=

♂️Moro - Mikumi - Moro
Mtanzania Tshs. 45,000/=
Mgeni wa nje Tshs. 85,000/=

Hiyo inahusisha:
Usafiri kwenda na kurudi, viingilio, vinywaji, chakula n.k

MALIPO
📱M-PESA LIPA NAMBA
5886550
Jina: Swahili Eco Tourism

🏦CRDB BANK
0152304156200
👥 Herbert George

*💥DEADLINE 03-07-2022💥*

UNARUHUSIWA KUANZA KUPUNGUZA KIDOGO KIDOGO.

+255782951177 What'sapp
+255625424924 sms/call
[email protected]

🌴TWENZETU MIKUMI - Saba Saba Special

Photos from Morogoro Region's post 22/02/2022

Choma
Ni eneo lenye upekee wake, ushawahi kufika?

Photos from Morogoro Region's post 22/12/2021

Kila kikao cha MWAKA huwa ni wakati wa kuwapongeza viongozi mabalozi na wanachama mbalimbali waliofanya vizuri katika maeneo mbalimbali ikiwemo uanachama bora, nidhamu n.k

MATUKIO KATIKA PICHA: viongozi wa Moro Family waliopokea tunzo katika maeneo mbalimbali.

Amani na mshikamano kwa wote ndio silaha yetu.

Want your business to be the top-listed Government Service in Morogoro?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Msamvu
Morogoro