10/08/2021
Aliyekuwa Rais wa wadau wa nyuki(SYECCOS), amesema Nyuki wa Singida wana mgawanyo Mzuri wa kazi ndani ya Mzinga ikiwa Kiongozi Mkuu anaitwa Malkia, na Wengine nyuki vibarua ambao Wana Wizara ya Ulinzi na Usalama, Wizara ya Afya ambapo Kuna Famasia na Daktari, Wizara ya Viwanda na Biashara ambapo Kuna Nyuki bureau Standards (NBS), Wizara ya Kilimo na Mifugo ambapo wanafuga Hadi baadhi ya Binadamu , wanafamasia, Wizara ya Ajira na Maendeleo ya Jamii pamoja na Wizara ya Misitu na Maji.Ameshauri Wakurugenzi wa makampuni na Taasisi nchini Tawajifunze kutoka kwenye nyuki nyuki kwa Ufanisi wa Taasisi zao.

16/06/2019