Bodi ipo chini ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Sheria ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji Sura 426 ya Mwaka 2007. Bodi ina mamlaka ya kusimamia viwango vya utendaji, tabia na maadili ya wataalam wa pamoja na kampuni za mipamgomiji.
Jukumu kubwa la OR-MUUUB ni kuimarisha Utawala Bora katika uendeshaji wa shughuli za Serikali kwa kubuni Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu