Find government services in Dodoma. Listings include Kondoa Sports and Social Center, Ucsaf-Tanzania, TASAF Tanzania, PPRA_Tanzania, BAHI DC and Geological Survey of Tanzania. Click on each in the list below the map for more information.
Bodi ipo chini ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Sheria ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji Sura 426 ya Mwaka 2007. Bodi ina mamlaka ya kusimamia viwango vya utendaji, tabia na maadili ya wataalam wa pamoja na kampuni za mipamgomiji.
Endelea kufuatilia ukurasa wangu utapata habari za michezo na burudani
UCSAF ilianzishwa na Serikali kwa lengo la kufanikisha huduma ya mawasiliano katika maeneo yasio na mvuto kwa watoa huduma ya mawasiliano nchini.
Tuna tekeleza ila ya chama cha mapinduzi kwa kuwatumikia wanachanchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
The GST is a Government Institution established under the Written Laws (Miscellaneous Amendments) Act, No. 7 of 2017. It is under the Ministry of Minerals
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira Mjini Dodoma-DUWASA inatoa huduma ya usambazaji wa maji safi pamoja na uondoshaji wa majitaka ikiwa ni usafi wa mazingira Jijini Dodoma. Sambamba na hayo DUWASA pia inatoa huduma ya maji bure kwa watu wasiojiweza.
Official page of Tanzania Insurance Regulatory Authority
The OAG is established under Article 59 of the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977, the OAG (discharge of duties) Act, Cap. 268 and the OAG (Re-Structure) Order, 2018 under the Government Notice No. 48 of of 2018.
Kusimamia na Kuratibu Uendeshaji wa chaguzi kwa mujibu wa Sheria.......
The Tanzania Meteorological Authority was established by the Meteorological Authority Act No. 2 of 2019 through Government Announcement GN 459 dated 14 June 2019. With the responsibility of coordinating, controlling and providing meteorological service.
Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) ni Taasisi ya Hifadhi ya Jamii iliyoundwa kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi [Sura 263] kwa lengo la kushughulikia masuala ya fidia kwa wafanyakazi waliopo katika sekta ya umma na binafsi.
e-GA inakusudia kutekeleza afua mbalimbali ili kusaidia taasisi za umma kutoa huduma mtandao kwa ufanisi. ISO 9001: 2015 CERTIFIED
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeanzishwa kwa Sheria Na.04 ya Taifa ya Umwagiliaji ya mwaka 2013.
Ukurasa Rasmi wa Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati
Bodi ipo chini ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Sheria ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji Sura 426 ya Mwaka 2007. Bodi ina mamlaka ya kusimamia viwango vya utendaji, tabia na maadili ya wataalam wa pamoja na kampuni za mipamgomiji.
Ukurasa Rasmi wa Ofisi ya Mbunge Viti Maalum (UWT) Mkoa wa Mjini, Zanzibar, chini ya Mhe. Asya Ali Khamis. 🇹🇿